Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Tuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibao
Kiba kwa kweli hana amshaamsha alafu pia ana poor selection of song linaloendana na tukio husika
 
Yah mke wa Mtu ni sumu kweli then rais wa FIFA sidhani Kama anaweza kujali kuhusu mambo ya Nani anatumbuiza

Kiufupi mziki ni biashara mondi Simba la. Masimba yeye kajifunua Kama muimbaji wa ngono na Pombe so lazima apewe show kutokana na walipo wateja wake Kama club ,bar n.k then Kiba king yeye anajitanabaisha Kama mzee wa maadili katika jamii ndo maana yeye huwa anaalikwa shughuli muhimu za nchi.
Kwa kifupu mshikaji wenu kazingua snaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiba na Simba wapi na wapi?

Yule amekimbia Yanga kwa ujio wa Diamond Platnumz ,ameogopa.
Daah kumbe inawezekana ndio sababu
 
Ali Kiba hana vibe.... pale alitakiwa Vanny boy au Chibu,tuseme tu ukweli,halafu pia wimbo ulitakiwa upigwe unaoendana na tukio.Kuimba eti 'mke wa mtu,sususususu... ni sumu... Wenger yawezekana alikua anashangaa tu.Management yake kama ilijua jamaa atapafomu,angeandaliwa kwa kuambiwa atunge hata historical song of the particular event.Anyway... nadhani waandaaji walitaka kumpa dili Kiba,kwasababu ya USIMBA na UYANGA.
 
Ali Kiba hana vibe.... pale alitakiwa Vanny boy au Chibu,tuseme tu ukweli,halafu pia wimbo ulitakiwa upigwe unaoendana na tukio.Kuimba eti 'mke wa mtu,sususususu... ni sumu... Wenger yawezekana alikua anashangaa tu.Management yake kama ilijua jamaa atapafomu,angeandaliwa kwa kuambiwa atunge hata historical song of the particular event.Anyway... nadhani waandaaji walitaka kumpa dili Kiba,kwasababu ya USIMBA na UYANGA.
Hapo ndipo walipofeli
 
Mondi kaperform tuzo za award za mchezaji bora wa Africa aliyochukua Mane, kaperform big brother Africa, kafanya show kwenye ufunguzi wa michuano ya Africa Afcon na hivi karibuni kachaguliwa kuperform tuzo za Trace Award itakayofanyika ufaransa
Lakini sio African football League mbele ya wenger!!
 
Tuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibao
Na kasoro jana ilikuwa nini?
Kwakuwa your fav hakuwepo au Shida nini?.
Kuperform mbele ya watu 60k sio sawa na kufanya shoo Dar live.
Kati ya performance mbovu kuwahi kufanyika kwenye matamasha ya Mpira Bongo hii la mondi ni namba moja.
 
Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.

Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.

Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Inabidi kuwepo na kupima ubongo wa mtu before hajapost chochote
 
Ali Kiba hana vibe.... pale alitakiwa Vanny boy au Chibu,tuseme tu ukweli,halafu pia wimbo ulitakiwa upigwe unaoendana na tukio.Kuimba eti 'mke wa mtu,sususususu... ni sumu... Wenger yawezekana alikua anashangaa tu.Management yake kama ilijua jamaa atapafomu,angeandaliwa kwa kuambiwa atunge hata historical song of the particular event.Anyway... nadhani waandaaji walitaka kumpa dili Kiba,kwasababu ya USIMBA na UYANGA.
Na ndio kapewa.....
 
Back
Top Bottom