Kiba kwa kweli hana amshaamsha alafu pia ana poor selection of song linaloendana na tukio husikaTuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba kwa kweli hana amshaamsha alafu pia ana poor selection of song linaloendana na tukio husikaTuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibao
Kwa kifupu mshikaji wenu kazingua snaaYah mke wa Mtu ni sumu kweli then rais wa FIFA sidhani Kama anaweza kujali kuhusu mambo ya Nani anatumbuiza
Kiufupi mziki ni biashara mondi Simba la. Masimba yeye kajifunua Kama muimbaji wa ngono na Pombe so lazima apewe show kutokana na walipo wateja wake Kama club ,bar n.k then Kiba king yeye anajitanabaisha Kama mzee wa maadili katika jamii ndo maana yeye huwa anaalikwa shughuli muhimu za nchi.
Lazima watu wakubali waliomzunguka Kiba Wana akili sana.Kiba Jana kapata maokoto ya nguvu.
Kwaiyo he did it for free of charge?Hajaokota chochote Ni kwamba aliomba mwenyewe kuimba ndipo akapewa dakik tatu tu
Hapo ndipo walipofeliAli Kiba hana vibe.... pale alitakiwa Vanny boy au Chibu,tuseme tu ukweli,halafu pia wimbo ulitakiwa upigwe unaoendana na tukio.Kuimba eti 'mke wa mtu,sususususu... ni sumu... Wenger yawezekana alikua anashangaa tu.Management yake kama ilijua jamaa atapafomu,angeandaliwa kwa kuambiwa atunge hata historical song of the particular event.Anyway... nadhani waandaaji walitaka kumpa dili Kiba,kwasababu ya USIMBA na UYANGA.
Lakini sio African football League mbele ya wenger!!Mondi kaperform tuzo za award za mchezaji bora wa Africa aliyochukua Mane, kaperform big brother Africa, kafanya show kwenye ufunguzi wa michuano ya Africa Afcon na hivi karibuni kachaguliwa kuperform tuzo za Trace Award itakayofanyika ufaransa
Na kasoro jana ilikuwa nini?Tuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibao
Inabidi kuwepo na kupima ubongo wa mtu before hajapost chochoteJana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.
Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.
Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Ukiuliza utapungukiwa nini?Kiba kwa kweli hana amshaamsha alafu pia ana poor selection of song linaloendana na tukio husika
Na ndio kapewa.....Ali Kiba hana vibe.... pale alitakiwa Vanny boy au Chibu,tuseme tu ukweli,halafu pia wimbo ulitakiwa upigwe unaoendana na tukio.Kuimba eti 'mke wa mtu,sususususu... ni sumu... Wenger yawezekana alikua anashangaa tu.Management yake kama ilijua jamaa atapafomu,angeandaliwa kwa kuambiwa atunge hata historical song of the particular event.Anyway... nadhani waandaaji walitaka kumpa dili Kiba,kwasababu ya USIMBA na UYANGA.
😁😁😁Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu",