Unum1_yote
Member
- Oct 21, 2023
- 25
- 27
Uwezo wako wa kutafsiri na kuona mambo umefika kikomo hapo.
Tusikubishie
Tusikubishie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ungekuwa mwanasanaa ungeelewa.. .. pale ilitakiwa mtu w vibes....Yah mke wa Mtu ni sumu kweli then rais wa FIFA sidhani Kama anaweza kujali kuhusu mambo ya Nani anatumbuiza
Kiufupi mziki ni biashara mondi Simba la. Masimba yeye kajifunua Kama muimbaji wa ngono na Pombe so lazima apewe show kutokana na walipo wateja wake Kama club ,bar n.k then Kiba king yeye anajitanabaisha Kama mzee wa maadili katika jamii ndo maana yeye huwa anaalikwa shughuli muhimu za nchi.
Nakubaliana na wewe kwenye hiliIt's a matter of fact ..... Alikiba wasn't a right person to that event....
Naunga mkono hojaNakubaliana na wewe kwenye hili
Nani huyo?Mkuu ungekuwa mwanasanaa ungeelewa.. .. pale ilitakiwa mtu w vibes....
Refer final za Kombe la Dunia yule mdada wa mshepu mkubwa alivyoasha vibes
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji122]Yah mke wa Mtu ni sumu kweli then rais wa FIFA sidhani Kama anaweza kujali kuhusu mambo ya Nani anatumbuiza
Kiufupi mziki ni biashara mondi Simba la. Masimba yeye kajifunua Kama muimbaji wa ngono na Pombe so lazima apewe show kutokana na walipo wateja wake Kama club ,bar n.k then Kiba king yeye anajitanabaisha Kama mzee wa maadili katika jamii ndo maana yeye huwa anaalikwa shughuli muhimu za nchi.
Umelala kweli Toka Jana?!!It's a matter of fact ..... Alikiba wasn't a right person to that event....
Hawaamini macho yaooo.....Bado hamjasema!
HaujuiSimba lamasimba Dangote we zombie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiba na Simba wapi na wapi?Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.
Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.
Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Tuache utani, Alikiba haifai kuwa mshereheshaji wa shughuli nyeti kama hiyo, jamaa amepooza sana na maringo kibaoUNAUMIA ukiwa wapi!?😅😅😅
Hajaokota chochote Ni kwamba aliomba mwenyewe kuimba ndipo akapewa dakik tatu tuHuwezi kuangalia hadhira bila fanani Kama unaimba ngono na Pombe lazima ufanye show club,bar, n.k Ila Kama unaimba Kazi nzuri za watu waliostaharabika Basi Alikiba Kama fanani muache aokote maokoto