Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,139
- 1,031
Habari zenu!
Serikali inaridhisha wananchi kupandisha elimu na ufaulu kupitia Big Results Now kwa GPA mpya.GPA hiyo na GRADES zake zinampendelea mtahiniwa ili mradi afaulu tu, tena kwa kiwango rahisi. GPA mpya haifui dafu kwa GPA ya zamani. GPA mpya ina nafasi kubwa ya kumfaulisha mtahiniwa, pia ina nafasi ndogo ya kufelisha, hatari!
Angalia nafasi zenyewe;
DISTINCTION: 3.6 - 5.0,nafasi 15
MERIT: 2.6 - 3.5,nafasi 10
CREDIT: 1.6 - 2.5,nafasi 10
PASS: 0.3 - 1.5,nafasi 13
FAIL: 0.0 - 0.2,nafasi 3.
Wakati GPA ya zamani;
DIV I,7-17, nafasi 11
DIV II,18-21, nafasi 4
DIV III,22-25, nafasi 4
DIV IV,26-33, nafasi 8
FAILED,34-35, nafasi 2
Tukija kwenye grade, Grade mpya;
A: 75-100
B+: 60-74
B: 50-59
C: 40-49
D: 30-39
E: 20-29
F: 0-19
Grade za zamani;
A: 81-100
B: 61-80
C: 41-60
D: 21-40
F: 0-20
Ukilinganisha grade mpya na za zamani unapata picha gani?
Elimu imeshuka, ni mpango mradi wa serikali ili watu waje wengi kwenye elimu. GPA ya zamani ilikuwa ngumu kwa PC kupata DIV II, kwa GPA mpya ni rahisi sana kupata DIV II(MERIT), angalia matokeo ya kituo chochote ujionee. Serikali haijafanya chochote kuhusu GPA mpya,zaidi tu,imeshusha elimu.
Haya sasa, wanaotaka kufaulu kiubwete wakati ndiyo huu.
Serikali inaridhisha wananchi kupandisha elimu na ufaulu kupitia Big Results Now kwa GPA mpya.GPA hiyo na GRADES zake zinampendelea mtahiniwa ili mradi afaulu tu, tena kwa kiwango rahisi. GPA mpya haifui dafu kwa GPA ya zamani. GPA mpya ina nafasi kubwa ya kumfaulisha mtahiniwa, pia ina nafasi ndogo ya kufelisha, hatari!
Angalia nafasi zenyewe;
DISTINCTION: 3.6 - 5.0,nafasi 15
MERIT: 2.6 - 3.5,nafasi 10
CREDIT: 1.6 - 2.5,nafasi 10
PASS: 0.3 - 1.5,nafasi 13
FAIL: 0.0 - 0.2,nafasi 3.
Wakati GPA ya zamani;
DIV I,7-17, nafasi 11
DIV II,18-21, nafasi 4
DIV III,22-25, nafasi 4
DIV IV,26-33, nafasi 8
FAILED,34-35, nafasi 2
Tukija kwenye grade, Grade mpya;
A: 75-100
B+: 60-74
B: 50-59
C: 40-49
D: 30-39
E: 20-29
F: 0-19
Grade za zamani;
A: 81-100
B: 61-80
C: 41-60
D: 21-40
F: 0-20
Ukilinganisha grade mpya na za zamani unapata picha gani?
Elimu imeshuka, ni mpango mradi wa serikali ili watu waje wengi kwenye elimu. GPA ya zamani ilikuwa ngumu kwa PC kupata DIV II, kwa GPA mpya ni rahisi sana kupata DIV II(MERIT), angalia matokeo ya kituo chochote ujionee. Serikali haijafanya chochote kuhusu GPA mpya,zaidi tu,imeshusha elimu.
Haya sasa, wanaotaka kufaulu kiubwete wakati ndiyo huu.