Maoni: Haya ndiyo makundi/makabila yenye maendeleo Tanzania

Maoni: Haya ndiyo makundi/makabila yenye maendeleo Tanzania

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nipo tayari kusahishwa,

Naomba nieleweke, hizi ni tathmini na sio ukabila, Tanzania hatuna ukabila

1. Wazanzibari - kuna mgao katika madaraka, vyeo, ajira, n.k kati ya bara na znz kwasababu ya muungano. kwa hio usidhani wanapendelewa ukiwakuta vyeo vya juu polisi, jwtz, usalama , ubalozi, ukurugenzi, mawaziri, n.k. pia 21% za ajira ni zao, ni wazi muungano unapigiwa kelele ila uhalisia ndio huu.

2. Wachaga - msisitizo wanaowekea elimu, biashara na kushirikiana ni ni desturi yao kwa siku nyingi, kila mwaka unapoisha hurudi vijinini kwao, foleni ya magari huwa ni ndefu sana, hakika wana umoja.

3. Wasukuma - ndio wanaongoza kwa idadi kubwa, penye wingi huu kuna makundi nayo yana maendeleo.

4. Wakinga - Ni kabila dogo lakini spidi wanayokuja nayo ni ya kutisha, hawa ki elimu wapo chini tofauti na makundi mengine, wao mtani wao ni biashara tu, kwenye biashara kwao ni kama kipaji.

Niishie hapa.
 
Hamna kitu
Hapo number mbili weka kanda maalumu,hao mdebwedo toka lini wakaweza kazi za jeshi?
 
Wanamaendeleo kwasababu hawana umimi.

Wana desturi ya kubebana na kunyanyuana pindi wanapoona mwenzao hayupo vizuri.

Wanaile ya kusema "mwenzao anapoonekana ni masikini basi alitiaa aibu kabila/jamii yao.

Njoo kwa wenzangu na Mimi wahehe sasa, utasikia nimsaidie ili aje anipite utajiri!!

Mhehe anasikia raha anapoona ndugu zake masikini halafu yeye peke yake ndio mwenye hela.
 
Wanamaendeleo kwasababu hawana umimi.

Wana desturi ya kubebana na kunyanyuana pindi wanapoona mwenzao hayupo vizuri.

Wanaile ya kusema "mwenzao anapoonekana ni masikini basi alitiaa aibu kabila/jamii yao.

Njoo kwa wenzangu na Mimi wahehe sasa, utasikia nimsaidie ili aje anipite utajiri!!

Mhehe anasikia raha anapoona ndugu zake masikini halafu yeye peke yake ndio mwenye hela.
Hili kama unasema ukweli hivi..
 
Wanamaendeleo kwasababu hawana umimi.

Wana desturi ya kubebana na kunyanyuana pindi wanapoona mwenzao hayupo vizuri.

Wanaile ya kusema "mwenzao anapoonekana ni masikini basi alitiaa aibu kabila/jamii yao.

Njoo kwa wenzangu na Mimi wahehe sasa, utasikia nimsaidie ili aje anipite utajiri!!

Mhehe anasikia raha anapoona ndugu zake masikini halafu yeye peke yake ndio mwenye hela.
duh 😂😂
 
Hamna kitu
Hapo number mbili weka kanda maalumu,hao mdebwedo toka lini wakaweza kazi za jeshi?
Polisi wapo wengi tu, jeshini wapo pia, ukifatilia vitengo vingi vya mashirika mengi huwakosi kwenye position za juu
 
Hapo wazanzibari toa..hawana uwezo huo ukiona yupo huko ni fadhila tu..kuulinda muungano uchwara.

#MaendeleoHayanaChama
Nakukumbusha tu wana mgao wao asilimia 21 za ajira, Hawa sio wenzako mkuu
 
1. Watu wenye asili ya waarabu / wahindi,..Kina Mo, Rostam,

2.Wazanzibari - Ni kawaida sana kuwakuta kwenye nafasi za vyeo vya juu kama jwtz, polisi, mahakama, mawaziri, mabalozi, wakurugenzi, wakuu wa vitengo, n.k Hawana mpinzani.kwakweli,

3. Wachaga - Wingi wao na msisitizo wanaowekea elimu na biashara ni desturi yao kwa siku nyingi.

4. Wasukuma - ndio wanaongoza kwa idadi kubwa, penye wengi nako kuna faida yake.

5. Wakinga - Ni kabila dogo lakini spidi wanayokuja nayo ni ya kutisha,

Niishie hapa.
Kuria boy umewasahau?
Haya boy
 
Si ndio mana nasema fadhila..sio uwezo tofautisha hapo.

#MaendeleoHayanaChama
Iweke vyovyote unavyotaka lakini uhalisia hawa wenzetu wametupiga gap refu, Top administration positions lazima wawepo, ni priority wawepo, Position hizi zinawapa power, money na influence kubwa mno, na vile wapo wachache inakuwa advantage kubwa sana, nakukumbusha tu hii ni mara ya pili wamekamata usukani.
 
Back
Top Bottom