Maoni: Hofu yangu kuhusu label ya Wasafi, Diamond, Harmonize na Raymond ni kama ‘mtu mmoja’

Maoni: Hofu yangu kuhusu label ya Wasafi, Diamond, Harmonize na Raymond ni kama ‘mtu mmoja’

Wadau wametililika vizuri tu hapo juu ni juu yao (wcb) kulifanyia kazi hili swala nakusema ukweli kabisa Harmonize ni kopi ya DIAMOND,lakini Raymond bado hajaingia sana kwa DIAMOND japo nae anamuelekeo huo nyimbo inayofuata ajitahidi kukwepa kujifananisha na bosi wake au kama bosi ndio anataka wafanane nae basi achukue huu ujumbe wa kuwatofautisha kila mmoja awe na ladha yake.Najua Mavoko analadha yake asiiache akajiingiza kwenye mkumbo wa Harmonize.
 
Tushawazoea nyie ata kipindi domo anaanza mlitabiri sana kufulia kwake lkn mpk leo ypo
Mkuu umelewa team yaani hata panapo tatizo unakua ngumu kukosoa, by the way me ni shabiki wa Diamond na muziki mzuri, na ninapenda mziki wetu uwakilishwe na wasanii wengi sio Mondi tu pekee!
 
Ushauri mzuri sana mkuu big up sana,binafsi nashindwa kutofautisha kati ya diamond na harmonies.dangote fanyia kazi huu Ushauri.
 
Yani mi nilikua nafikiria ka wewe yani mapigo yote ka daimond, sauti mi naona ka watakuwa hawana jipya sana mana had uchezaji sasa dai atajitofautishaje nao. Bora kusimamia wasaniii lakini wabuni style zao uchezaji ili kuleta ladha tofauti tofauti, za mziki bila hivo mashabiki watawachoka. Na yamoto ndo hivo hivo had wanakuwa hawana jipya
Ila reymond ana sound tofauti haujastukia yule harmonizer ndo anaiga kila kitu yaan hadi kero
 
Nafurahia vijana wanavyomuaddress dimondi hata ka issue hazijakaa sawa.
Angekuwa Kiba keshatukanwa
Get Money Earn#Respect
Kwani lazima kumtaja KIBA?..acha kuweweseka cheza ndani ya mada usije haribu majadala.
 
Naappreciate sana juhudi za Diamond katika kuunyanyua muziki wa Tanzania kwa kuibua vipaji vipya kama Harmonize, Raymond na watakaofuata kama wapo.

Ni dhahiri kuwa kwa hili la kusimamia vijana wawili tu kiasi kikubwa cha fedha kimetumika na kinaendelea kutumika hasa ukizingatia kuwa Diamond tayari ni mtu sensitive kwenye quality ya product, na tunajua kuwa quality ni gharama kubwa siku hizi kama sio siku zote.

Diamond amethubutu kuwekeza, kibiashara tunategemea return katika kila unachofanya ‘kibiashara’ hivyo ni muhimu sana kufikiria vitu vingi vya kuifanikisha biashara ukiachana na mtaji. Hata kama una mtaji mkubwa na fedha za ziada kuuendeleza mradi bado failure iko pale kama hutotazama vitu vingine kwa kina.

Licha ya nguvu nyingi anayoweka Diamond kwenye muziki wa vijana wake ‘publicity na video nzuri’ bado mimi nina hofu ya kufanikiwa kwake kuwafikisha vijana wake hawa chini ya label yake. Nilivumilia kulisema hili baada ya kumsikiliza Harmonize, ila sasa nimeshindwa kukaa nalo baada ya kumsikia Raymond.

Naadmit kuwa hawa vijana Raymond na Harmonize wana vipaji vikubwa, wana sauti nzuri sana na ni waandishi vizuri lakini wanakosa kitu cha kuwafanya kuwa brand. Yupo mwandishi mmoja anaitwa Angela Cross alisema…

“Your brand is the foundation of your relationship with your audience – so be mindful of who your audience is (and no, it’s not “everyone”), what they want, and how you can connect with and serve them.”

Najua brand ni neno pana na kila mtu anaweza kulitetea kivyake kutokana na mapenzi na uelewa kwenye suala husika, vyovyote iwavyo niseme Diamond, Raymond, na Harmonize ni “MTU MMOJA.” Yaani ukitoa sauti zao (ambazo pia sasa zinaelekea kufanana) vingine vyote ninafanana zaidi.

Hapa nazungumzia uandishi wao, mawazo yao katika nyimbo, mtindo wa nyimbo zao, uandishi wao, na strategies za kibiashara ambazo naweza sema ni zile zile ambazo ameziexperience Diamond. Sasa kwanini tusifikirie brand kama ‘MUHURI’ ambao utakutambulisha kwa audience kama zilivyo documents zenye huo muhuri maofisini?

Haya, dalili zinaonyesha kuwa Richard Mavoko ataingia kwenye Label ya Wasafi. Ikitokea basi ni kheri lakini ni wazi pia kuwa kutaongeza ‘mlundiko’ wa mfanano katika muziki kwani hata mtu asiyefuatilia sana anafahamu kuwa Richard kwa matoleo kadhaa amekuwa akifanana sana kiuimbaji na Diamond, hata uachiaji wa nyimbo zao ulikuwa ukifuatana. Mbona yanaweza kuepukika haya? Tazama Harmonize anavyojaribu kuwa na attitude ya kwako.

Najua Diamond uko karibu sana na vijana wako, naamini wako huru kuzungumza nawe, uhuru huu sasa naona usifike kwenye muziki unaofanya, naona vitu viwili hapa na sina uhakika kipi ni kipi, kwamba vijana ni mashabiki wa muziki wako hivyo wanajikuta wanafanya unachofanya ama wewe ni bosi wa vijana na unawaambia nini cha kufanya ili ikurahisishie wewe kuwafanikishia ndoto zao.

Sijawahi kumsikia Raymond kabla, nilipata shauku kubwa kumsikia baada ya kujua kuwa yuko chini ya Wasafi, lakini shauku kubwa zaidi niliipata baada ya kusikia kuwa ni mtumiaji wa guitar katika uimbaji. Nilipata mawazo kadhaa ya picha juu ya huyu jamaa atakavyokuwa anaimba, niliamini angekuwa tofauti na Harmonize, niliamini angekuja na nyimbo tofauti na tulizozizoea siku hizi na niseme tu kuwa nilikuwa so disappointed.

Wimbi hili halipo kwa Wasafi tu,. naona balaa hili kutokea kwa Mkubwa na Wanawe. Angalia uimbaji wa Yamoto Band na wale wadogo zao, balaa linaendelea baada ya kumsikia mshindi wa BSS ‘Kayumba’ ambaye pia ni zao la Fella na sasa yupo chini ya usimamizi unaomhusisha Fella na washirika wake. Kayumba naye kaja na muziki uleule unaofanywa na wenzake wanaomzunguka.

Diamond!! Kama umeamua kusimamia wasanii nakushauri kuwaza ‘utofauti’, utofauti na upya ni must katika soko la muziki duniani kote especially sasa hivi, ni dhambi kubwa kibiashara kuwa ‘COMMON.’ Uimbaji na uandishi vya wasanii wako hakikisha vinatofautiana na vya kwako. Kama umemudu kuajiri mwalimu wa ‘kizungu’ kwa ajili ya crew yako basi hautoshindwa kuajiri mtaala amu wa kuwatengeneza tofauti vijana wako kwa kila kitu, hii kazi usiifanye wewe tafadhali.

Kwanini usitushangaze kwa kuja na vijana wenye muziki wa kitofauti na uufanyao wewe? Kuna ugumu gani kututengenezea kichwa kingine cha RnB kikatoa changamoto kwa wakina Ben Pol na Jux?

Kwanini usiufikirie muziki wa Grace Matata na Damian Soul pia? Vipi kuhusu muziki mzuri uliofanywa na Mandojo na Domokaya na kushindwa kuvuka mipaka? Huoni kuwa hivi vinavyotokea vinafanya tuchoke muziki (kitu ambacho ni makosa makubwa), hatupaswi kuuchoka muziki, fanyeni tusiuchoke muziki.

Nia yako ni nzuri sana Diamond na uzuri ni kuwa unaimudu kabisa nia hiyo (kitu ambacho ni muhimu sana), lakini kwanini sasa ugharamike isivyostahiki kwa kutumia nguvu tele kisa tu hujaweka mawazo yako/yenu nje ya vitu visivyohusisha fedha? Hofu yangu iko hapo zaidi, matumizi makubwa ya pesa isivyostahiki.
By fedrick bundala
Mambo yatabadilika tuendelee kumtia moyo japo kwa hili Aloanza nalo.
 
Tushawazoea nyie ata kipindi domo anaanza mlitabiri sana kufulia kwake lkn mpk leo ypo
Kabisa kaka.. Unajua watu wanakarr.. At hip hop au rnb yy kaamua kufanya ivo na wengne wachukue wa hip hop.. Afu mbna iko ivo kote mfno... Lil kesh kwa YNBL ya olamide mbna alipokelewa kwa ukubwa wa jina la olamide... Kwann uangaike kufanya biashara isiyo na faida ihali ipi rahisi kbs unayoweza pata pesa kirahisi.. Muulize madee na nay wa mitego.. Bongoflava ndo pesa iliyopo so ctashangaa watu kuongea bila kufkiria na ata uyo muadhili wa saut akufkiria vzr yy alipata angle yake ya kutetea mada ya muzk tofaut wa hip hop na rnb wakat diamond anaangalia biashara iko ap.. Nakumbuka watu walisemaga diamond nyimbo za mapenz tu anachuja muda c mrefu mara huu mwaka wake wa mwisho yako wapi?.. Mapenz ndo watu wanataka
 
duh,mkuu hii ID yako nlipoiona nimejikuta nacheka na kuumia kwa wakati mmoja aise!hatari sn
wanakuita ata kwenye interview lkn?
Nina kampuni, sijawahi kufanya interview ila nafanyisha watu interview, nachukua mwisho 3.4 gpa!
 
Mambo yatabadilika tuendelee kumtia moyo japo kwa hili Aloanza nalo.
MWANDISHI AMEPOTEZA TEST YA SIKIO WHICH MEANS KILA ANACHOSKIA KINAFANANA KWAKUA WASANII HUSIKA WANAZUNGUKA PAMOJA,WASINGEKUA PAMOJA ANGEONA HAWAFANANI,YET MAVOKO ANAENDA WCB THEN AMEMWONA PIA ANA FANANA NA DIAMOND,SWALI JIULIZE ULIFANYA UTAFITI KABLA YA KUANDIKA AU ULIANDIKA UNDER INFLUENCE YA KILEVI???, UMEZUNGUMZIA WHY ASIWEKEZE TUPATE TEST MPYA YA RnB, Mhadhiri SERIUOSLY HUJUI GEMU YA MZIKI INATAKA NINI,IMEFIKA WAPI NA INAELEKEA WAPI, TUNA WASANII WANAOSIMAMIWA NA THT (Barnaba,Ruby etc) AMBAO WANA ACCESS KUBWA NA KITUO CHA REDIO AMBACHO NDIO KINA ENDESHA ''BONGO FLEVA 100%'' ULISHAJIULIZA WHY WAMESHINDWA KUSHAWISH WANANCHI WAKAPATA FULL ACCESS YA KUWA ACCEPTED?? (namaanisha kukubalika asilimia 80-100% then why wamebaki as underground) UTAFITI WAKO USIEGEMEE UNACHOTAMANI KIWE,BALI ULITIZAME JAMBO LILIVYO KWA UHALISIA WAKE, UKIWEKA ALENACHA NYINGI MAANA YAKE HUJUI ULICHOKUA UNATAKA KUKIELEZA, SOKO LA MZIKI TANZANIA KWA SASA HALINA NAFASI KWA RnB UKITAKA ULE HASARA YA WAZI BASI,WEKEZA KTK RnB, KWA hip hop NAUNGA MKONO ILA SIO RnB, KUHUSU MAWAZO KUFANANA, HIVI KUNA WASANII WA KUIMBA TANZANIA WANAIMBA VITU HAVIFANANI??? HEBU FANYA RESERCH TOKA 2015 -2016 IDADI YA NYIMBO ZILIZOTOKA NA ZIKAWA NA UJUMBE TOFAUTI USIO INGILIANA,UTAJUA KWAMBA ULIANDIKA MAKALA UKIWA NA MTIAZAMO MGANDO,HUKUJIPA NAFASI YA KUTIZAMA UPANDE WA PILI, UNAPOZUNGUMZA UWEKEZAJI HUZUNGUMZII KUTUPA HELA SHIMONI,UNAZUNGUMZIA KUWEKA HELA KTK KITU KITAKACHOREJESHA FAIDA,KESHO UTAKUJA KUSEMA ANGEWEKEZA KWA KINA SAIDA KAROLI KWA KUWA MAWAZO YAKO YANA RAHISISHA JAMBO GUMU LIWE JEPESI KICHWANI SI KIUTENDAJI, NAMALIZIA KWA KUSEMA UNAFAHAM FIKA GEMU YA MZIKI TANZANIA SIO BAHATI NASIBU, SIO KITU CHA KIRAHISI RAHISI KAMA INAVYOTAKA KUAMINISHWA, RICH MAVOKO, RAYMOND, HARMONIZE & DIAMOND NI WASANII WENYE TEST TOFAUTI RUDI KAA CHINI WASKIZE TENA, KILA MMOJA KUNA ANALOWEZA MWINGINE HALIWEZI, SAFISHA SKIO KAA SKIZA NYIMBO ZAO UPYA,MHANDISI HII KAMA NI RESEARCH NA MIMI NI MSIMAMIZI WAKO BASI NTASEMA NILIKOSEA ULIPOLETA PROPOSAL,ULICHOFANYA NI KUANDIKA BILA KUFANYA RESEARCH HALISI,INGESAIDIA WEWE KUJA NA VITHIBITISHI AMBAVYO MTU AKI REJEA ANAJUA YES HII KWELI....
 
Mi ni Team Diamond lakini nakubaliana na wewe,Diamond anawatengeneza wapinzani wake mwenyewe.Hasa Harmonize atakua wakwanza kuchokwa kwa maana anaiga kila kitu cha Diamond mpaka Pozi zake,Mavazi,Mapozi ya kupigia picha mpaka anakeraaa.Diamond umeshawasaidia vya kutosha hawa vijana,sisi kama mashabiki wako tunaomba uwaachie wenyewe ubunifu wao katika muziki ili tuone Vipaji vyao
MWANDISHI AMEPOTEZA TEST YA SIKIO WHICH MEANS KILA ANACHOSKIA KINAFANANA KWAKUA WASANII HUSIKA WANAZUNGUKA PAMOJA,WASINGEKUA PAMOJA ANGEONA HAWAFANANI,YET MAVOKO ANAENDA WCB THEN AMEMWONA PIA ANA FANANA NA DIAMOND,SWALI JIULIZE ULIFANYA UTAFITI KABLA YA KUANDIKA AU ULIANDIKA UNDER INFLUENCE YA KILEVI???, UMEZUNGUMZIA WHY ASIWEKEZE TUPATE TEST MPYA YA RnB, Mhadhiri SERIUOSLY HUJUI GEMU YA MZIKI INATAKA NINI,IMEFIKA WAPI NA INAELEKEA WAPI, TUNA WASANII WANAOSIMAMIWA NA THT (Barnaba,Ruby etc) AMBAO WANA ACCESS KUBWA NA KITUO CHA REDIO AMBACHO NDIO KINA ENDESHA ''BONGO FLEVA 100%'' ULISHAJIULIZA WHY WAMESHINDWA KUSHAWISH WANANCHI WAKAPATA FULL ACCESS YA KUWA ACCEPTED?? (namaanisha kukubalika asilimia 80-100% then why wamebaki as underground) UTAFITI WAKO USIEGEMEE UNACHOTAMANI KIWE,BALI ULITIZAME JAMBO LILIVYO KWA UHALISIA WAKE, UKIWEKA ALENACHA NYINGI MAANA YAKE HUJUI ULICHOKUA UNATAKA KUKIELEZA, SOKO LA MZIKI TANZANIA KWA SASA HALINA NAFASI KWA RnB UKITAKA ULE HASARA YA WAZI BASI,WEKEZA KTK RnB, KWA hip hop NAUNGA MKONO ILA SIO RnB, KUHUSU MAWAZO KUFANANA, HIVI KUNA WASANII WA KUIMBA TANZANIA WANAIMBA VITU HAVIFANANI??? HEBU FANYA RESERCH TOKA 2015 -2016 IDADI YA NYIMBO ZILIZOTOKA NA ZIKAWA NA UJUMBE TOFAUTI USIO INGILIANA,UTAJUA KWAMBA ULIANDIKA MAKALA UKIWA NA MTIAZAMO MGANDO,HUKUJIPA NAFASI YA KUTIZAMA UPANDE WA PILI, UNAPOZUNGUMZA UWEKEZAJI HUZUNGUMZII KUTUPA HELA SHIMONI,UNAZUNGUMZIA KUWEKA HELA KTK KITU KITAKACHOREJESHA FAIDA,KESHO UTAKUJA KUSEMA ANGEWEKEZA KWA KINA SAIDA KAROLI KWA KUWA MAWAZO YAKO YANA RAHISISHA JAMBO GUMU LIWE JEPESI KICHWANI SI KIUTENDAJI, NAMALIZIA KWA KUSEMA UNAFAHAM FIKA GEMU YA MZIKI TANZANIA SIO BAHATI NA SIBU, SIO KITU CHA KIRAHISI RAHISI KAMA INAVYOTAKA KUAMINISHWA, RICH MAVOKO, RAYMOND, HARMONIZE & DIAMOND NI WASANII WENYE TEST TOFAUTI RUDI KAA CHINI WASKIZE TENA, KILA MMOJA KUNA ANALOWEZA MWINGINE HALIWEZI, SAFISHA SKIO KAA SKIZA NYIMBO ZAO UPYA,MHANDISI HII KAMA NI RESEARCH NA MIMI NI MSIMAMIZI WAKO BASI NTASEMA NILIKOSEA ULIPOLETA PROPOSAL,ULICHOFANYA NI KUANDIKA BILA KUFANYA RESEARCH HALISI,INGESAIDIA WEWE KUJA NA VITHIBITISHI AMBAVYO MTU AKI REJEA ANAJUA YES HII KWELI....
 
MWANDISHI AMEPOTEZA TEST YA SIKIO WHICH MEANS KILA ANACHOSKIA KINAFANANA KWAKUA WASANII HUSIKA WANAZUNGUKA PAMOJA,WASINGEKUA PAMOJA ANGEONA HAWAFANANI,YET MAVOKO ANAENDA WCB THEN AMEMWONA PIA ANA FANANA NA DIAMOND,SWALI JIULIZE ULIFANYA UTAFITI KABLA YA KUANDIKA AU ULIANDIKA UNDER INFLUENCE YA KILEVI???, UMEZUNGUMZIA WHY ASIWEKEZE TUPATE TEST MPYA YA RnB, Mhadhiri SERIUOSLY HUJUI GEMU YA MZIKI INATAKA NINI,IMEFIKA WAPI NA INAELEKEA WAPI, TUNA WASANII WANAOSIMAMIWA NA THT (Barnaba,Ruby etc) AMBAO WANA ACCESS KUBWA NA KITUO CHA REDIO AMBACHO NDIO KINA ENDESHA ''BONGO FLEVA 100%'' ULISHAJIULIZA WHY WAMESHINDWA KUSHAWISH WANANCHI WAKAPATA FULL ACCESS YA KUWA ACCEPTED?? (namaanisha kukubalika asilimia 80-100% then why wamebaki as underground) UTAFITI WAKO USIEGEMEE UNACHOTAMANI KIWE,BALI ULITIZAME JAMBO LILIVYO KWA UHALISIA WAKE, UKIWEKA ALENACHA NYINGI MAANA YAKE HUJUI ULICHOKUA UNATAKA KUKIELEZA, SOKO LA MZIKI TANZANIA KWA SASA HALINA NAFASI KWA RnB UKITAKA ULE HASARA YA WAZI BASI,WEKEZA KTK RnB, KWA hip hop NAUNGA MKONO ILA SIO RnB, KUHUSU MAWAZO KUFANANA, HIVI KUNA WASANII WA KUIMBA TANZANIA WANAIMBA VITU HAVIFANANI??? HEBU FANYA RESERCH TOKA 2015 -2016 IDADI YA NYIMBO ZILIZOTOKA NA ZIKAWA NA UJUMBE TOFAUTI USIO INGILIANA,UTAJUA KWAMBA ULIANDIKA MAKALA UKIWA NA MTIAZAMO MGANDO,HUKUJIPA NAFASI YA KUTIZAMA UPANDE WA PILI, UNAPOZUNGUMZA UWEKEZAJI HUZUNGUMZII KUTUPA HELA SHIMONI,UNAZUNGUMZIA KUWEKA HELA KTK KITU KITAKACHOREJESHA FAIDA,KESHO UTAKUJA KUSEMA ANGEWEKEZA KWA KINA SAIDA KAROLI KWA KUWA MAWAZO YAKO YANA RAHISISHA JAMBO GUMU LIWE JEPESI KICHWANI SI KIUTENDAJI, NAMALIZIA KWA KUSEMA UNAFAHAM FIKA GEMU YA MZIKI TANZANIA SIO BAHATI NASIBU, SIO KITU CHA KIRAHISI RAHISI KAMA INAVYOTAKA KUAMINISHWA, RICH MAVOKO, RAYMOND, HARMONIZE & DIAMOND NI WASANII WENYE TEST TOFAUTI RUDI KAA CHINI WASKIZE TENA, KILA MMOJA KUNA ANALOWEZA MWINGINE HALIWEZI, SAFISHA SKIO KAA SKIZA NYIMBO ZAO UPYA,MHANDISI HII KAMA NI RESEARCH NA MIMI NI MSIMAMIZI WAKO BASI NTASEMA NILIKOSEA ULIPOLETA PROPOSAL,ULICHOFANYA NI KUANDIKA BILA KUFANYA RESEARCH HALISI,INGESAIDIA WEWE KUJA NA VITHIBITISHI AMBAVYO MTU AKI REJEA ANAJUA YES HII KWELI....
Dah watu mnaujua mziki aise sikutegemea hii thread ingekumbana na vichwa ka hivi..uchambuzi wako uko vizuti braza
 
MWANDISHI AMEPOTEZA TEST YA SIKIO WHICH MEANS KILA ANACHOSKIA KINAFANANA KWAKUA WASANII HUSIKA WANAZUNGUKA PAMOJA,WASINGEKUA PAMOJA ANGEONA HAWAFANANI,YET MAVOKO ANAENDA WCB THEN AMEMWONA PIA ANA FANANA NA DIAMOND,SWALI JIULIZE ULIFANYA UTAFITI KABLA YA KUANDIKA AU ULIANDIKA UNDER INFLUENCE YA KILEVI???, UMEZUNGUMZIA WHY ASIWEKEZE TUPATE TEST MPYA YA RnB, Mhadhiri SERIUOSLY HUJUI GEMU YA MZIKI INATAKA NINI,IMEFIKA WAPI NA INAELEKEA WAPI, TUNA WASANII WANAOSIMAMIWA NA THT (Barnaba,Ruby etc) AMBAO WANA ACCESS KUBWA NA KITUO CHA REDIO AMBACHO NDIO KINA ENDESHA ''BONGO FLEVA 100%'' ULISHAJIULIZA WHY WAMESHINDWA KUSHAWISH WANANCHI WAKAPATA FULL ACCESS YA KUWA ACCEPTED?? (namaanisha kukubalika asilimia 80-100% then why wamebaki as underground) UTAFITI WAKO USIEGEMEE UNACHOTAMANI KIWE,BALI ULITIZAME JAMBO LILIVYO KWA UHALISIA WAKE, UKIWEKA ALENACHA NYINGI MAANA YAKE HUJUI ULICHOKUA UNATAKA KUKIELEZA, SOKO LA MZIKI TANZANIA KWA SASA HALINA NAFASI KWA RnB UKITAKA ULE HASARA YA WAZI BASI,WEKEZA KTK RnB, KWA hip hop NAUNGA MKONO ILA SIO RnB, KUHUSU MAWAZO KUFANANA, HIVI KUNA WASANII WA KUIMBA TANZANIA WANAIMBA VITU HAVIFANANI??? HEBU FANYA RESERCH TOKA 2015 -2016 IDADI YA NYIMBO ZILIZOTOKA NA ZIKAWA NA UJUMBE TOFAUTI USIO INGILIANA,UTAJUA KWAMBA ULIANDIKA MAKALA UKIWA NA MTIAZAMO MGANDO,HUKUJIPA NAFASI YA KUTIZAMA UPANDE WA PILI, UNAPOZUNGUMZA UWEKEZAJI HUZUNGUMZII KUTUPA HELA SHIMONI,UNAZUNGUMZIA KUWEKA HELA KTK KITU KITAKACHOREJESHA FAIDA,KESHO UTAKUJA KUSEMA ANGEWEKEZA KWA KINA SAIDA KAROLI KWA KUWA MAWAZO YAKO YANA RAHISISHA JAMBO GUMU LIWE JEPESI KICHWANI SI KIUTENDAJI, NAMALIZIA KWA KUSEMA UNAFAHAM FIKA GEMU YA MZIKI TANZANIA SIO BAHATI NA SIBU, SIO KITU CHA KIRAHISI RAHISI KAMA INAVYOTAKA KUAMINISHWA, RICH MAVOKO, RAYMOND, HARMONIZE & DIAMOND NI WASANII WENYE TEST TOFAUTI RUDI KAA CHINI WASKIZE TENA, KILA MMOJA KUNA ANALOWEZA MWINGINE HALIWEZI, SAFISHA SKIO KAA SKIZA NYIMBO ZAO UPYA,MHANDISI HII KAMA NI RESEARCH NA MIMI NI MSIMAMIZI WAKO BASI NTASEMA NILIKOSEA ULIPOLETA PROPOSAL,ULICHOFANYA NI KUANDIKA BILA KUFANYA RESEARCH HALISI,INGESAIDIA WEWE KUJA NA VITHIBITISHI AMBAVYO MTU AKI REJEA ANAJUA YES HII KWELI....
Hii thread sijaianzisha mimi mkuu,mimi ni mchangiaji tu kama wewe naona unanirushia makomboramhata hivyo kila kitu kina POSITIVE EFFECT and NEGATIVE EFFECT,sio kwamba alichokizungumza mwandishi FREDY hakipo..kipo na Kichukuliwe kama Changamoto
 
N
Hii thread sijaianzisha mimi mkuu,mimi ni mchangiaji tu kama wewe naona unanirushia makomboramhata hivyo kila kitu kina POSITIVE EFFECT and NEGATIVE EFFECT,sio kwamba alichokizungumza mwandishi FREDY hakipo..kipo na Kichukuliwe kama Changamoto
Ndo mana nisema ni mapema mno... Narejea mfno wangu apo awali... Unakumbuk YMCMB karbu wote walikua narap kama wayne saiv vp... Mbna drake.. Nick.. Tyga wameweza kusimama kama brand zinazojitegemea.. Sometimes tufkirie nje ya box.. Wasanii wangap toka wametoka wanaimba mapenzi mfno diamond ila leo yako wap... Ndo baba ya bongo flava.. Japo wengi wanaumia mana ni ukwel mchungu... Muziki ni biashara na kila mtu ana strategy zake.. So look n learn... Give it some time...
 
Back
Top Bottom