MAONI: Jumuiya ya Afrika Mashariki kuiwekea Rwanda vikwazo vya kidiplomasia na uchumi

MAONI: Jumuiya ya Afrika Mashariki kuiwekea Rwanda vikwazo vya kidiplomasia na uchumi

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Baada ya baadhi ya nchi za Ulaya na Marekani kuiwekea Rwanda vikwazo pia kuwekea viongozi wa Rwanda vikwazo kwa kujihusisha na migogoro ndani ya DRC.

Sasa ni dhahiri na muda muafaka kwa jumuiya za Kiafrika na kanda zake kukaa na kupiga kura hatimae kuiwekea Rwanda vikwazo kama ilivyofanya ECOWAS kwa baadhi ya nchi za Afrika Magharibi baada ya mapinduzi kadhaa ya kijeshi katika nchi husika .

Maamuzi ya nchi wanachama wa Afrika na jumuiya ya Afrika Mashariki ni muhimu sana hasa kwa mustakabali mzima wa amani katika ukanda wa maziwa makuu ambao umeanza kutikiswa.

wakati umefika kwa nchi jumuiya ya Afrika Mashariki na umoja wa nchi za Kiafrika kuweka vikwazo vya kibiashara na Kidipolmasia ili kukomesha machafuko yanayoendelea nchini DRC ambayo ni nchi mwanachama wa Afrika.
 
We are followers than leaders. Wengine wafanye ndio tufuate hii nayo inahitaji mtaji?
 
Kale Ka Fido Dido kalivyo na mdomo mchafu katatema shit na kusema hakajali wala nini.

Jumuia yote inakagwaya.

Kwa maisha ya uswahilini, kanamithilishwa na kile kimwanamke kilichokosa mwili ili kana mdomo balaa na saa zote kako tayari kwa ugomvi.

1741101299468.jpeg
 
Kale Ka Fido Dido kalivyo na mdomo mchafu katatema shit na kusema hakajali wala nini.

Jumuia yote inakagwaya.

Kwa maisha ya uswahilini, kanamithilishwa na kile kimwanamke kilichokosa mwili ili kana mdomo balaa na saa zote kako tayari kwa ugomvi.

View attachment 3258684
Na kwanini wamugwaye kama anafanya makosa? Faida ya kuwa na hiyo jumuiya ya EAC itakuwa ni nini sasa?
 
Kale Ka Fido Dido kalivyo na mdomo mchafu katatema shit na kusema hakajali wala nini.

Jumuia yote inakagwaya.

Kwa maisha ya uswahilini, kanamithilishwa na kile kimwanamke kilichokosa mwili ili kana mdomo balaa na saa zote kako tayari kwa ugomvi.

View attachment 3258684
Kana mimba sasa hivi na kumbe ni mgonjwa unaoletwa na Oxidative stress mpaka achemshiwe graviola na mwenye mti amekomaa na majani
 
Nafikiri hata wao inawachanganya hawajuwi wa kumlaumu kwa hili ni nani hasa kati ya Tchiseked na serikali yake na PK na serikali yake
Hapana; ni waoga tuu.

1. Mwenye Tatizo kiukweli ni Congo DRC (Internal conflicts) -i.e. Tshisekedi na Serikali yake.

2. PK na Serikali yake amejitumbukiza huko kwa malengo anayoyajua mwenyewe lakini anawasaidia kwa hali na mali mahasimu wa Tshisekedi (wapo zaidi ya vikundi 120) ili waiangushe Serikali yake. Huo ni Ubabe so huyo alaumiwe na inafaa kumkemea au Rwanda awekewe vikwazo.

3. Wapo wale wanaojaribu kumsaidia Tshisekedi (Uganda na Burundi) lakini wako confused na hawana agenda ya pamoja moja. Mmoja anawafuatilia na kuwaua kabila hasimu kwake ilhali mwenzake anamsaidia mjomba wake asiangushwe kijeshi - hata kama anamapungufu makubwa.

4. Jumuiya ya Kimataifa ilipopeleka wanajeshi wa kulinda amani Kagame na Serikali yake Hawakuwaheshimu walinzi hao na badala yake wakawateka na kuwadhalilisha.

Ni katika muktadha huo Mataifa wameona wakae "kimya kidogo" wawaache hao watoane usongo kwanza halafu hata wakipeleka Msaada huo Msaada Utapokelewa na Utaheshimika na pende zote mbili.
(Ni maoni yangu tuu lakini)
 
Kana mimba sasa hivi na kumbe ni mgonjwa unaoletwa na Oxidative stress mpaka achemshiwe graviola na mwenye mti amekomaa na majani
Chuki yako ni kaliii jitahidi hili yowe limfikie Trump huku kwingine unapuyanga maana Paka kakuka mdomoni kama mswaki
 
Nani atafanya kazi hiyo.... Viongozi wa Africa walivyo na Unafiki, Kila mtu anashindwa kusema Ukweli.

Viongozi wa East Africa waeshindwa kumwambia Ukweli Museveni kwamba yeye ndo tatizo la Matatizo yote yanayotokea Congo Sasa hivi.

Wameshindwa kumwambia Ukweli Museveni kwamba yeye ndo chanzo Cha Vifo vya kina Habyarimana na mwenzake, wameshindwa kumwambia kwamba yeye ndo source ya Mauaji ya Kimbari....!

Wameshindwa kumwambia Museveni yeye ndo source ya vurugu zote huko Congo....!
Haya mambo wanaweza Wazungu, kwenye Vikao vyao uso Kwa uso kumwambia Rais mwingine kwamba wewe bwana ni Tatizo....!
Sio Africa sio East Africa.
 
Nani atafanya kazi hiyo.... Viongozi wa Africa walivyo na Unafiki, Kila mtu anashindwa kusema Ukweli.

Viongozi wa East Africa waeshindwa kumwambia Ukweli Museveni kwamba yeye ndo tatizo la Matatizo yote yanayotokea Congo Sasa hivi.

Wameshindwa kumwambia Ukweli Museveni kwamba yeye ndo chanzo Cha Vifo vya kina Habyarimana na mwenzake, wameshindwa kumwambia kwamba yeye ndo source ya Mauaji ya Kimbari....!

Wameshindwa kumwambia Museveni yeye ndo source ya vurugu zote huko Congo....!
Haya mambo wanaweza Wazungu, kwenye Vikao vyao uso Kwa uso kumwambia Rais mwingine kwamba wewe bwana ni Tatizo....!
Sio Africa sio East Africa.
Yeah! Na sasa tena wameshindwa kumwambia P.Kagame kwamba anachokifanya huko DRC sio haki na sio sahihi.
 
Hapana; ni waoga tuu.

1. Mwenye Tatizo kiukweli ni Congo DRC (Internal conflicts) -i.e. Tshisekedi na Serikali yake.

2. PK na Serikali yake amejitumbukiza huko kwa malengo anayoyajua mwenyewe lakini anawasaidia kwa hali na mali mahasimu wa Tshisekedi (wapo zaidi ya vikundi 120) ili waiangushe Serikali yake. Huo ni Ubabe so huyo alaumiwe na inafaa kumkemea au Rwanda awekewe vikwazo.

3. Wapo wale wanaojaribu kumsaidia Tshisekedi (Uganda na Burundi) lakini wako confused na hawana agenda ya pamoja moja. Mmoja anawafuatilia na kuwaua kabila hasimu kwake ilhali mwenzake anamsaidia mjomba wake asiangushwe kijeshi - hata kama anamapungufu makubwa.

4. Jumuiya ya Kimataifa ilipopeleka wanajeshi wa kulinda amani Kagame na Serikali yake Hawakuwaheshimu walinzi hao na badala yake wakawateka na kuwadhalilisha.

Ni katika muktadha huo Mataifa wameona wakae "kimya kidogo" wawaache hao watoane usongo kwanza halafu hata wakipeleka Msaada huo Msaada Utapokelewa na Utaheshimika na pende zote mbili.
(Ni maoni yangu tuu lakini)
Ooh kumbe,
Kama No 1 ndivyo ilivyo je wacongoman wanalijuwa hilo au wana uvivu wa kufikiri tu.

Kwenye No 2 umesema Congo kuna makundi ya kigaidi zaidi ya 120, je kwanini yapo na serikali ya nchi hiyo toka enzi za Mobutu imefanya nini kuliondoa au kulipunguza tatizo hilo?

No 3 kama ni kweli kuna kundi la watu au kabila fulani sababu ya uhasama uliopo linaangamizwa je kulifumbia macho suala kama hilo si kuendeleza yaleyale yaliyotokea Rwanda?

Tunaambiwa majeshi ya UN yapo Congo karibia miaka 30 sasa, muda wote huo pamoja na uwezo wa kijeshi walionao wamefanya nini.mpaka.sasa au nao wanajipakulia manyama tu kimnya kimnya (madini) na mbona tunasikia majeshi yote hayo yako mashariki mwa Congo yaani Goma na maeneo yote ya kivu kwanini wame base hapo na sii kwingineko? Kuna mahali nilisoma kuwa Patrice Lumumba aliuwawa kwa sababu ya.msimamo wake mgumu kwa hayo mataifa makubwa kuingia Congo na kuchimba madini.
Any way hii vita ya maneno kati ya Trump na Zelensky hapa majuzi nimejifunza kitu kutoka kwa haya mataifa makubwa hawakupi msaada hivihivi tu usiokuwa na malipo ndani yake.
 
Back
Top Bottom