Kumekuwa na jitihada za kuona hali ya shule ya sheria (LST) inaanikwa kwa uhuru.
Hata hivyo jitihada mbalimbali zimekuwa zikiyeyuka "miraculously" bila sababu halisi kuwekwa hadharani.
"Hii nchi ni ngumu sana" - alisikika ndugu mmoja akiugulia maumivu moyoni.
Hili ni la kamati ya majaji:
Hili ni la Kongamano la kukusanya maoni juu ya Mwenendo wa Ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sheria nchini Tanzania nalo:
Kwenye sintofahamu yote iliyoelezewa kuhusu LST kulikoni wadau hawa kuyeyuka mithili ya barafu kwenye moto?
Zingatia: post #2 ilikuwa wito kwa ajili ya kongamano Hilo la kukusanya maoni.
Hata hivyo jitihada mbalimbali zimekuwa zikiyeyuka "miraculously" bila sababu halisi kuwekwa hadharani.
"Hii nchi ni ngumu sana" - alisikika ndugu mmoja akiugulia maumivu moyoni.
Hili ni la kamati ya majaji:
Hili ni la Kongamano la kukusanya maoni juu ya Mwenendo wa Ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sheria nchini Tanzania nalo:
Kwenye sintofahamu yote iliyoelezewa kuhusu LST kulikoni wadau hawa kuyeyuka mithili ya barafu kwenye moto?
Zingatia: post #2 ilikuwa wito kwa ajili ya kongamano Hilo la kukusanya maoni.