Maoni kwa Masanja Mkandamizaji

Maoni kwa Masanja Mkandamizaji

Trab na Trat

Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
34
Reaction score
74
Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.

Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;

1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.

Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
 
Ni kweli chief
Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.

Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;

1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.

Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.

Jina lina tabia ya kufuata nuksi, balaa na mikosi pia

 
Screenshot_20221004-151127.png
 
Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.

Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;

1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.

Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
swala lililotkea kwa masanja dhidi ya katibu wake na mkewe hilo jukum ni lake yeye mwenyew ndoa nadhan n swala la watu wawili.

lakini swala la kusem jina la kanisa linasababisha matend ya waamun kuwa ya ovyo sio la kwel.... dini imani na imani ipo ndan ya mtu sio kanisa
 
Feel free...
Jina lina Sadifu tosha mmoja kuumla mwenzie.
Mi nlikuwa naona wanaenda kujifunza Udunia na mambo yake.
 
Back
Top Bottom