Hata mimi nashangaa mtu mzima na akili zake unamuamini masanha,bora jiwe pagani nikifa maiti yangu muitupeMungu anisamehe ila sijawahi muamini Masanja kama mchungaji
Ila labda nna mapepo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nashangaa mtu mzima na akili zake unamuamini masanha,bora jiwe pagani nikifa maiti yangu muitupeMungu anisamehe ila sijawahi muamini Masanja kama mchungaji
Ila labda nna mapepo,
Akikujibu naomba unitagUliIzini na muumini ama kiongozi
Yaani Masanja alikuwa anakula kistaarabu, katibu anakula hapohapo huku ana piga mluzi, jiulize aliwezaje?
Wewe acha kumtisha jina si tatizo.Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.
Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;
1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.
Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
Huyo ni Masanja nini maamae
Kafinywa huku mchungaji 🤣🤣🤣🤣Huyo ni Masanja nini maamae
Feel free kuichukulia utakavyoona. Tangu siku ile pale kanisani nilipoona yule demu anamakalio kama mtungi anaimba kwaya huku akinesa na Masanja kumsifia madhabahuni mpaka akatrend. Nilisema hakuna kanisa pale. Ni kijiwe cha wahuni tu.
Wewe acha kumtisha jina si tatizo.
Theeeeere you arePenzi la kupigania au kulazimisha huleta msiba.
Nimejifunza kuchukulia mambo poa na kwa hiari zaidi.
KabisaHahahaha wanawake waruhusiwe kuwa na mume zaidi ya mmoja
Mkuu msajili wa makanisa sio mimi...Una uhakika kama hilo Kanisa lina utakatifu wa kuitwa Kanisa?
😂😂😂Mkuu msajili wa makanisa sio mimi...
Labda kama wanaume wa darKabisa
Hebu weka pichaMwana kwaya.
Na mama mchungaji labdaUliIzini na muumini ama kiongozi
Yeye mwenyewe ni muhuni, mzinzi hatari.Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.
Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;
1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.
Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
kabisa mkuu
- Sikujua
- Mashaka
- Matatizo
- Shida
- Masumbuko
- Sikudhani
- Vumilia
- Tegemea
- Mpendakula
- Sadiki
- Tabu
- Vioja
- Havijawa
- Siwatu
Ndio huyo huyo anaye trend sasa au mwingine?Mwana kwaya.