Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ni kama perfume yako ukiwa unajipulizia wewe ni fyu fyu umemaliza ukimpa mwingine anakupigia fyu fyuu fyuu fyuu fyu fyuuuuuuuuu fyuuu hivo ndivo katibu alimfakamia muke ya pastaNimejithidi kutafsiri hii picha nimeshindwa mkuu....msaada tafadhali!
AiseeUjengewe sanamu pale Chamwino.
Imani za kiafrika ni ubatili mtupu.Kuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.
Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;
1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.
Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
Kwamba wakati huyo katibu anaoza aliyebaki bado yupo freshNimejithidi kutafsiri hii picha nimeshindwa mkuu....msaada tafadhali!
Una nini lakini?Ujengewe sanamu pale Chamwino.
Kwani mmekatazwa? Kuna wanawake wana waume hata idadi hawajui, sembuse kuwa na wawili?Hahahaha wanawake waruhusiwe kuwa na mume zaidi ya mmoja
🙄Hahahaha wanawake waruhusiwe kuwa na mume zaidi ya mmoja
Katibu alikua anafakamia/ anafuja mali ya pastaKwamba wakati huyo katibu anaoza aliyebaki bado yupo fresh
Siyo mchungaji ni Askofu. 🤣 🤣Mungu anisamehe ila sijawahi muamini Masanja kama mchungaji
Ila labda nna mapepo,
Siyo Pastor ni Bishop.Katibu alikua anafakamia/ anafuja mali ya pasta
Acha achapiwe,yeye mwenyewe masanja kapiga Sana wake za watuKuna siku baada ya ibada nilikushauri ubadili jina la kanisa maana jina lasasa lina shida na nikakwambia maneno yanaumba ila ukaniambia jina liko sawasawa na huna mpango wa kubadili. Tangu sikuile sikuja wala hatujaonana.
Iko hivi, wewe mwenyewe umewaambia waumini wako (pamoja na katibu) kuwa wa feel free yaani wajisikie huru na hujasema wajisikie huru kwenye nini, matokeo yake watu wakajisikia huru kufanya mambo haya;
1. Kula vitu vitakatifu.
2. Kuvaa kama wanavyo jisikia.
3. Kuzini hovyo, mimi pia nilizini na mtu hapo.
5. Katibu akapita na watu fulani fulani hapo.
Nakuhakikishia usipo badili hilo jina utachapiwa kila kitu.
Hahahaha wanawake waruhusiwe kuwa na mume zaidi ya mmoja
Ndio hilo hilo, ile ni NGO ya Masanja ya kupiga pesa za donors wa ulaya na Marekani.Hivi lile kanisa kijiwe ndiyo lile liko nyuma ya leaders club au
Ova
Aise,na ukipata line hiyo lazima uwe tajiri ,hongera zakeNdio hilo hilo, ile ni NGO ya Masanja ya kupiga pesa za donors wa ulaya na Marekani.
Mume mmoja hatoshi . Mwenyewe unashuhudia haya mambo yalivyo sasa hivi.Una nini lakini?