Maoni kwa Masanja Mkandamizaji

Imani za kiafrika ni ubatili mtupu.
Kuna free Pentekoste nalo ni tatizo?
Acheni ujinga ujinga.
Labda ungekosoa aina ya mafundisho yake na mienendo na sio jina.

Kwani feel free kuna shida?

Yesu mwenyewe alisema..

Mwana akikuweka huru utakuwa huru kweli kweli...hii inahusu nini?
 
Hahahaha wanawake waruhusiwe kuwa na mume zaidi ya mmoja
Kwani mmekatazwa? Kuna wanawake wana waume hata idadi hawajui, sembuse kuwa na wawili?
Wote mna waume zaidi ya wawili hata kama hamjawatambulisha.
 
Acha achapiwe,yeye mwenyewe masanja kapiga Sana wake za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…