Mambo vipi wakuu!
Kulingana na hali ya sasa naomba mchanganuo wa ujenzi wa nyumba hii.Chumba cha kulala kiwe kimoja na sitting room basi na ukubwa ni 6*8.Ukiondoa tofali zipo tayar
Mambo vipi wakuu!
Kulingana na hali ya sasa naomba mchanganuo wa ujenzi wa nyumba hii.Chumba cha kulala kiwe kimoja na sitting room basi na ukubwa ni 6*8.Ukiondoa tofali zipo tayar
Kujenga skwea metre moja kuanzia uchimba msingi ,kuujengea, kuweka floor, tofali, mchanga,lintel,kupaua,bati,ufundi,dirisha,mlango,nondo,cementi,rangi,umeme etc ni laki tano. Fundi siyo Hawa wa kuokoteza ni wale walioandikishwa boss. Kama hujaelewa njoo ofisini