Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #201
ππππππππKwa sababu ni kazi ya hovyo,
Ni kazi ya watu waliofeli shule
Ni kazi ya laana
Ni kazi isiyo na hadhi yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππKwa sababu ni kazi ya hovyo,
Ni kazi ya watu waliofeli shule
Ni kazi ya laana
Ni kazi isiyo na hadhi yoyote.
Toa hoja acha makasirikoMpwayungu ticha naona umeanza tena mkuu mbona uko na makasiriko sana
Anawaambia ukweli na kuna wakati anawapiganiaHivi huyu huwa hana mada yoyote zaidi ya topic za walimu.
Kweli JF imeingiliwa, kila cku ana topic moja tu basi,,inafikia hatua hata uzi wake huwezi soma coz dairy ni topic moja tu.
Nipo JF miaka zaidi ya 7 naona hili jina ni jipya la mpyayunge village.
Kweli JF ni kama kokolo inabeba kila mtu.
Kila la kheri katika harakati zako mpya za kudeal na walimu tu.
Soma jinaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Kumetokea nn mkuu?
Ndo nimegundua saiz...ngoja aje mwenyewe sasaπππππSoma jina
Nimeliona ila kaja kivingineSoma jina
Walaaa,ni yeye mwenyewe anataka atuvuruge vichwaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Ndo nimegundua saiz...ngoja aje mwenyewe sasaπππππ
Basi itoshe tu kusema huyu mwalimu kavurugwa jamaniππππππWalaaa,ni yeye mwenyewe anataka atuvuruge vichwaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£