Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akaunti mpya hiyoUkikuta jamaa anaisifu kazi ya ualimu stuka ni mtego huo.
Amekuja kufanya 'counteroffensive' ya Mpwayungu villageKunatofauti kati ya mpwayungu village na mpwayangu village. Alaf nilivyoona new member tu nikajua kuwa sio mwenyewe😂
Upo seminaninaona semina za walimu wa masomo ya sayansi mmeokota visenti kulingana na madaraja yenu bana
Kuna watu Hawana kazi za kufanyaAmekuja kufanya 'counteroffensive' ya Mpwayungu village
Huyu ni tahila tu hana kazi, tumupuuzeKunatofauti kati ya Mpwayungu Village na Mpwayangu village. Alaf nilivyoona new member tu nikajua kuwa sio mwenyewe[emoji23]
Chizi tu huyuNdo nimegundua saiz...ngoja aje mwenyewe sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulizeni mpwayangu sio mm mpwayungunaona semina za walimu wa masomo ya sayansi mmeokota visenti kulingana na madaraja yenu bana
Iam not mpwayangu, mm ni mpwayungu hata followers ni tofautiHii account imedukuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ipo hivyo, Moderator sijui wanakwama Wapi kuwapiga ban hawa watuHuu mtindo umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya members maarufu kwa uandishi wao kukutana na counter offensive. Ila hao wanaoiga id za wenzao ni kero, wanatuchanganya sana
Sio mm mkuu huyu ni lofer tuIla wewe jamaa unasifa sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Nilitaka nishangae,,,achana nae tu 😃😃Sio mm mkuu huyu ni lofer tu
Hana ata akili sijui inaona sifaShwaini, kwa nini unaiga id ya mwenzako? Kwa hiyo umeamua kuanzisha anti mpwayungu villange
Sio mm mkuu, siwez sifu wasiojielewaUkikuta jamaa anaisifu kazi ya ualimu stuka ni mtego huo.
Kwa hiyo, serikali huwa inaajili waliopata division zero? Au kufeli mana yake nini? Muwe na shukurani na serikali yenu. Imejitahidi kuwafikisha hapo kwa waalimu makini lakini lawama kibao. Kweli binadamu hana wema. Mnataka mpewe gunia la ma...Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe
Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.
Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa
Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu
Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?