Anawaambia ukweli na kuna wakati anawapigania

Ova
 
Shukrani kubwa ziende kwa walimu kwa kila nafasi na kila hatua na kwajitihada zao zilizofanya tufike tulipo sasa kwa elimu tulizopewa shule ziwe za kiada au ziada kuanzia ngazi ya awali, msingi, sekondari, upili hadi vyuo.

Hongera walimu kwa kuzalisha madaktari, maengineers, wahasibu n.k

Walimu wapewe maua Yao[emoji253]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…