Kada hii kila siku inataka ajira, kila siku inataka kuonewa huruma mbona kada zingine kama uhandisi, HR, accountancy nk hawana Roho ya kuomba omba kama hawa walimu shida inakuwa nini?

Wamegeuza Mei mosi kama inawahusu wao tu wengine hapana, walimu ifike wakati mjisimamie wenyewe
 
Chuo gani hicho kinachopokea mtu aliefeli nimpeleke mdogo angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…