baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Ok labda ulipo wewe lkn ofis zetu wanakuja wengi tuuuSio kweli, huku kwingine hatuwez nunua vitu vya mafungu, makopo ya kuogea hayo wanawapelekea walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok labda ulipo wewe lkn ofis zetu wanakuja wengi tuuuSio kweli, huku kwingine hatuwez nunua vitu vya mafungu, makopo ya kuogea hayo wanawapelekea walimu
Yeah sure [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah ila walimu ni wasng sn kwakwl
Nawewe ni mwalimu [emoji15], nimekupuuzaOk labda ulipo wewe lkn ofis zetu wanakuja wengi tuuu
Mwalimu shoga upo!?Nawewe ni mwalimu [emoji15], nimekupuuza
Mimi sio mwalimu ila sio vizuri yeye kuwasemea walimu angali wapo na wanaweza kujitetea wenyeweWalimu mna mambo mengi sana acha aendelee kuwagusa moja baada ya jingine.
Atakua Sekondari ya Katawalimu wanamajumba na magari mbona, upo kada ipi kwani msingi au sekondari mtaluma
hahah ajiendeleze kielimu japo atapigwa faini kwanza kabla ya kupanda darajaAtakua Sekondari ya Kata
Chuo gani hicho kinachopokea mtu aliefeli nimpeleke mdogo anguHili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe
Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.
Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa
Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu
Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?
Vyuo vyote vya walimu na ngazi za ualimuChuo gani hicho kinachopokea mtu aliefeli nimpeleke mdogo angu
Ni kada ngapi hapa nchini watumishi wake wanaolipwa pesa ya maanaDah afu kwenye foleni wanakuwaga makauzu hao[emoji23][emoji23][emoji23].utafikil wanaenda toa pesa ya maana.
Hivi ni chuo gani hicho kinachopokea wanafunzi waliofeli ,acha fixUalimu ni kazi low grade kwa Tanzania hii, sababu ni mbili wengi wao ni felia pili ni vibaraka wa wanasiasa wa CCM.
Hilo ni tatizo la serikali kuleta siasa kwa kuondoa mchujo darasa la nne ,zamani ilikua ngumu kukuta mtu kafika la 7 hajui kusomaKwanini kuna wanafunzi wanafika darasa la 7 hawajui soma na kuandika?
Hahaaa nchi hii inavituko ,ivi kati ya mpiga dabe,mbeba mzigo,muuza maji,karanga,mkulima ni nani wa kumuonea huruma ukimlinganisha na mwalimuSema sasa why unawachukia?? Mimi nawaoneaga huruma wanaume waalimu maisha yao ni tataa najua hivyoo
Walimu wana hali mbaya, huu ni ukweli mchungu!Hahaaa nchi hii inavituko ,ivi kati ya mpiga dabe,mbeba mzigo,muuza maji,karanga,mkulima ni nani wa kumuonea huruma ukimlinganisha na mwalimu
Yani walimu bhana wana hali ngumu sanaWalimu wana hali mbaya, huu ni ukweli mchungu!