Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wao Wana komaa, kuliko wewe Uliye tamani kubadilisha jinsia🤒.
👉Eti una juta kuwa mwanaume, Mpaji Mungu ona hi kenge😂🤣
hii imeendaImeishapita
NdowapeweHili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe
Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.
Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa
Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu
Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?
Mwalimu mpwayungu village ni kama mwehu
Kwahyo na wewe ulivyopiga diplôma Yako ya ualimu ulikuwa umefeli?Vyuo vyote vya walimu na ngazi za ualimu
Una matatizo gani kichwani?Kada hii kila siku inataka ajira, kila siku inataka kuonewa huruma mbona kada zingine kama uhandisi, HR, accountancy nk hawana Roho ya kuomba omba kama hawa walimu shida inakuwa nini?
Wamegeuza Mei mosi kama inawahusu wao tu wengine hapana, walimu ifike wakati mjisimamie wenyewe
Hâta wewe ni mwalimu umejipuuza pole mwalim mpwayungu,shida Ninn?Nawewe ni mwalimu [emoji15], nimekupuuza
Ni watumishi wote sio walimuKama serikali inakopa kwann wao wasikope nasikia walimu wataongezewa mshahara mwezi ujao tuone utamtambia nani
Mwalimu mpwayungu vp nini kimekusibu Tena?Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo
Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu
Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Hata iweje, kuacha tu ualimu ni ushujaaUkiwa na ujasiri wa kufanya ivo uwe na uhakika umejiwekeza kwa namna moja au nyingine tofauti na hapo ....itakula upande wako
Huyo tu kwanza uliyemtaja ni ushaidi tosha,Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo
Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu
Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Huyo mwalimu katoboa mtumbwi na yeye mwenyewe yupo humo humo, wala hamkomoi muajiri,, ngoja njaa imkunyuge huko kwao bombambili ataukumbuka hata huo mshara wa jiwe unusu,,,,Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo
Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu
Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa