Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe

Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.

Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa

Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu

Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ndowapewe
Ndomtihani
Ndoafundishe !!!! Ipo kazi, ndio washauri wetu !!! Wakosoaji wa walimu !!!!!!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Kada hii kila siku inataka ajira, kila siku inataka kuonewa huruma mbona kada zingine kama uhandisi, HR, accountancy nk hawana Roho ya kuomba omba kama hawa walimu shida inakuwa nini?

Wamegeuza Mei mosi kama inawahusu wao tu wengine hapana, walimu ifike wakati mjisimamie wenyewe
Una matatizo gani kichwani?

Hivi hujui ualimu ni kada pekee isiyo na posho wala marupurupu yoyote?

Unashida kwenye fuvu lako
 
Nawewe ni mwalimu [emoji15], nimekupuuza
Hâta wewe ni mwalimu umejipuuza pole mwalim mpwayungu,shida Ninn?
JamiiForums166160668.jpg
 
Walimu wanaofanikiwa kuwa viongozi waache roho mbaya ya kutowakumbuka wenzao.
Miaka yote tokea Uhuru ualimu ndio utoa Marais,wake wa marais,mawaziri,wake wa mawaziri, wabunge wake za wabunge.
Lakini hakuna hata mmoja akishakuwa kiongozi kutokea ualimu anawakumbuka wenzake.
Sijui ni laana,
 
Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo

Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu

Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
 
Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo

Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu

Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Mwalimu mpwayungu vp nini kimekusibu Tena?
 
Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo

Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu

Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Huyo tu kwanza uliyemtaja ni ushaidi tosha,
 
Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo

Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu

Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Huyo mwalimu katoboa mtumbwi na yeye mwenyewe yupo humo humo, wala hamkomoi muajiri,, ngoja njaa imkunyuge huko kwao bombambili ataukumbuka hata huo mshara wa jiwe unusu,,,,
 
Si angekopa kama anakopesheka halafu aanze vitimbwi.
Anyway kafanya maamuzi magumu, Kuendeshwa na kijitu mpaka akuamulie maisha yako na familia yako ni ujinga...

Huko Ukerewe mbona wengi sana wanapakimbia?
 
Back
Top Bottom