Tatizo home wananisema sana ndo maana nachanganyikiwapunguza kulalamika basi na wewe, unataka kujinyoga?
acha hizo
Nafikir kwa kiasi kikubwa kama kwa 100%, walimu wako ya usimamizi wa halmashauri.Tuongee ukweli WALIMU WALIOCHINI YA HALMASHAURI WATAENDESHWA MPAKA MWISHO WA DUNIA.
#YNWA
tafuta hata mtu unaemuamini uwe unamueleza haya machungu yako, ukibaki nayo yatakutesaTatizo home wananisema sana ndo maana nachanganyikiwa
Katika jambo nalowaambia watumishi walioajiriwa na certificate na diploma ya ualimu ni kwamba "Ualimu sio ajira ni pakutafutia cheki namba, nenda kasome course nyengine chuo"Nafikir kwa kias kikubwa kama kwa 100%, walimu wako ya usimamiz wa halmashauri.
Ni kwel lakin siku hiz mambo yana badilika. Kuna halmashur mojawapo ya mkoa wa pwan, viongoz wa idara ya elimu hawana hamu na walimu kwa walichofanyiwa kias kupelekea kuanzia mkurugenz kuhamishwa
Sawatafuta hata mtu unaemuamini uwe unamueleza haya machungu yako, ukibaki nayo yatakutesa
Ila mwanangu kazi ya ualimu unaipenda sana maana nikikumbuka zile hustle zako kule lindi mpaka ukamtafuna mtoto wa mwalimu mwenzio nakuonea huruma sana. Ila kaza moyo mzee.Hii kazi niyakipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwez kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Ushauri kiuhalisia hauko practical na haiwezekan ikawa hivyo kwamba kila mtu akimbie huko.No wayKatika jambo nalowaambia watumishi walioajiriwa na certificate na diploma ya ualimu ni kwamba "Ualimu sio ajira ni pakutafitia cheki namba, nenda kasome course nyengine chuo"
#YNWA
Nimependa uwasilishaji wako leo, umewasilisha bila kuweka kejeli/matusi.Hii kazi niyakipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwez kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Hazitafika pia Kuna 1/3 hatari sanaHivi mkuu mwalimu aliyeanza kazi mwaka huu mpaka anastaafu miaka 30 ijayo anaweza kupata mafao mil 200 kweli
Mwalimu punguza jazbqWewe endelea kubanduliwa mwanaume , acha walioamua kutafuta vipato kwa njia halali wale kwa jasho lao wafurahie kidogo chao wanachopata.
Wewe ndio mpekwe ukishabanduliwa huko unabaki kuwa guilty dume zima hovyo kabisa
Mi sio teacher kamanda..mi muhangaikaji tu ila hawa maticha tuko nao sana tuu mtaaniMwalimu punguza jazbq
Hiyo 100 inafika??Hivi mkuu mwalimu aliyeanza kazi mwaka huu mpaka anastaafu miaka 30 ijayo anaweza kupata mafao mil 200 kweli
Huwez pia kutamn kuwa DED au RC kama ushafanikiwa.Tuongee ukweli, hauwezi kutoboa kupitia ualimu
Na hakuna mtu ambaye ana maisha mazuri kisha akaitamani kazi hii
ila watu huwa wanafanya kama njia, anafanya mambo yake mengine yakitick anang'oka
100 inafika mkuuHiyo 100 inafika??
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kibaya zaidi hadi wanafunzi wanapewa ukubwa wasiostahili,Ualimu ni kazi flani hivi ya hovyo kichizi yan,ukiwa mwalimu kila mtu ni bosi wako mwanakijiji,mwenyekiti wa kamati ya shule,mwenyekiti wa Kijiji,diwani,mwenyekiti wa ccm,wajumbe wa kamati ya shule,mwalimu mkuu,mwalimu wa taaluma, mwenyekiti wa kitongoji,afisa elimu kata,mtendaji wa Kijiji,mtendaji wa kata,diwani,wachungaji na masheikh,afisa elimu wilaya...n.k
Tena usiombe uwe mwalimu wa vijijini ndo balaa kubwa