Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 453
- 1,104
Nyie semeni tu ila Ualimu sio issue kabisa hao waaliotoboa ni 0.001 ya walimu woteAnajua waalim wa leo ndio wa enzi zile za ualimu wito!!. Siku hiz ualim kazi.
Sawa wapo choka mbaya kama walivyojaa kwenye kila kada nyingine