Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Hata ombi la kuhama kwenyewe kutoka shule/wilaya moja kwenda shule/wilaya nyingine ndani ya mkoa huo huo mmoja ni kwa mbinde sana. Wapitishaji wa maombi hayo uwabania sana tena kwa makusudi kabisa. Walimu pamoja na kwamba kuna watu wanawabeza lakini kwa yale mateso wanayopitia katika nchi hii kwa hakika wanastahili heshima na pongezi kwa uvumilivu walionao.
Sio uvumilivu boss ni kukosa namna tu na umaskini.

Kuna jamaa zangu waliamishwaa baadae wakaambiwa hakuna hela za uamisho warudi kwenye vituo vyao vya kwanza, kwa usumbufu huu unadhani madaktari au mwanasheria anaweza ambiwa!?
 
Mpwayungu Mimi natamani ualimu jaman sijaajiriwa na degree yangu hii tangu 2015 hao waalimu wa cheti tuu hapa nyumbani wananidharau na ni ndugu zangu [emoji24][emoji24][emoji24] usiombe najuta hata kusoma
Mkuu mara kadhaa nimekua nasoma jumbe na thread zako mbali mbali sometimes naingiwa na huruma ya kibinadamu maana hustle nazijua njaa naijua + msoto

NB
Toka kwenye Hilo Gerezani (Psych prison) shukuru Kwa hiyo degree ELIMU iwe ngao ya wew kuweza kupambana kutimiza ndoto zako inatakiwa saivi uwe umesha Anza kuwaza nini unataka maishani usipoteze muda kuwaza ualimu utapoteza muda.,
 
Kuna wakati alifungiwa naona karudi

Yeye kama ualimi haupendi aachie wengine wanaopenda hata vyakula kuna mwingine anapenda hiki kile hapendi

Lakini huyu mwenzetu mleta mada anahitaji tiba ya akili ana dalili za ukichaa.Kitu.kama hukipendi huwezi kuwa kutwa unaongelea hicho tu ni dalili.ya ugonjwa wa akili awahi hospital sio siri na naongea kwa dhati.Hasora ya muda mrefu kwenye kitu.kile kile huzalisha ukichaa

Muda si mrefu atatupa nguo.na kutembea uchi barabarani walio karibu naye wamshauri
Mbona Leo kawasilisha poa sanaa bila matusi.
Kiukweli kabisaaaa ""UALIMU SIO KAZI""
Ni vile raia hawana option sasa WATAFANYAJE??

#YNWA
 
Ualimu ni kazi flani hivi ya hovyo kichizi yan,ukiwa mwalimu kila mtu ni bosi wako mwanakijiji,mwenyekiti wa kamati ya shule,mwenyekiti wa Kijiji,diwani,mwenyekiti wa ccm,wajumbe wa kamati ya shule,mwalimu mkuu,mwalimu wa taaluma, mwenyekiti wa kitongoji,afisa elimu kata,mtendaji wa Kijiji,mtendaji wa kata,diwani,wachungaji na masheikh,afisa elimu wilaya...n.k
Tena usiombe uwe mwalimu wa vijijini ndo balaa kubwa
Nashangaa watu wanao sifia kazi ya UALIMU humu ndani halafu kwenye ukoo wao hakuna mwalimu hata mmoja, hakuna mtu mwenye uwezo wa kujisomesha chuo halafu akasomea Ualimu.
 
Nimependa uwasilishaji wako leo, umewasilisha bila kuweka kejeli/matusi.

Alichoandika ni kweli 120% sahihi, kwa kweli kwa tulioingia kwenye kichaka hiki inabidi tufanye juhudi tutoke tukafanye kazi zingine hata kama hazihitaji elimu ya shuleni

Watu ambao hawajaingia kwenye mtego huu (hasa wanaotarajia kuingia mavyuoni) wasijaribu kuingia kwenye hii fani.

Kwa kweli ualimu sio kazi yenye future hata kidogo

Naomba kuwasilisha
Umenena vyema. Huko future hakuna kabisa wapo jamaa miaka 20 ni Mwalimu hata PIKIPIKI ya milioni 2 ameshindwa kununua utasema hiyo ni kazi ya kufanya.!!?

Kama mtu anataka apate uhakika wa kula na kuvaa mitumba basi Ualimu utamfaa.
 
Hii kazi niyakipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwez kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma

Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee

Poleni sana walimu
 
Ualimu ni kazi flani hivi ya hovyo kichizi yan,ukiwa mwalimu kila mtu ni bosi wako mwanakijiji,mwenyekiti wa kamati ya shule,mwenyekiti wa Kijiji,diwani,mwenyekiti wa ccm,wajumbe wa kamati ya shule,mwalimu mkuu,mwalimu wa taaluma, mwenyekiti wa kitongoji,afisa elimu kata,mtendaji wa Kijiji,mtendaji wa kata,diwani,wachungaji na masheikh,afisa elimu wilaya...n.k
Tena usiombe uwe mwalimu wa vijijini ndo balaa kubwa
Childish, silly and illogical.
 
Mkuu mara kadhaa nimekua nasoma jumbe na thread zako mbali mbali sometimes naingiwa na huruma ya kibinadamu maana hustle nazijua njaa naijua + msoto

NB
Toka kwenye Hilo Gerezani (Psych prison) shukuru Kwa hiyo degree ELIMU iwe ngao ya wew kuweza kupambana kutimiza ndoto zako inatakiwa saivi uwe umesha Anza kuwaza nini unataka maishani usipoteze muda kuwaza ualimu utapoteza muda.,
Tatizo ni walezi wananipa pressure wananilinganisha mpaka najiona nimechelewa Yani Kila siku vibonzo
 
Back
Top Bottom