Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mpwayungu Mimi natamani ualimu jaman sijaajiriwa na degree yangu hii tangu 2015 hao waalimu wa cheti tuu hapa nyumbani wananidharau na ni ndugu zangu [emoji24][emoji24][emoji24] usiombe najuta hata kusoma
Kama una mazingira comfortable ya makazi na chakula unapata, relax kisha brain storm mkuu.

Cheki familia za kishua kadhaa, offer kuwafundishia kwao 2 hours per day....Masomo matatu ukipata 10 wakakubali 25k monthly una 250k.

Offer kufundisha wazungu kiswahili ktk private session 80k per month,ukipata 3 una 240k.

Usikae bure, anza kuandika pamphlets za maswali na majibu. Kipe jina hata Hitimu Na Daraja La Kwanza O-Level na kingine A-Level. Hapa okoa muda,copy,paraphrase ongeza na vyako.

Set kwa namna visizidi 5000 kwa kimoja,kisha jipe target ya kuuza 100 katika mashule, faida mfano ikiwa 2000 mara 100, 200,000/-

Mitaani kuna watu English,inawapiga chenga na wanatamani kujua. Unaangalia ambae ana basics kidogo unachagua watano, bei 20 kwa mwezi......100,000.

Hautajiriki ila atleast unakuwa katika direction ya progress, na inakupa ahueni, mbele unaweza ku figure out kitu.Wakati unapambana kupata kazi.

Mpaka hao ndugu zako watakubali we ni mbishi, sio ajabu nao wakataka kuingia katika system yako.
 
Kwa sasa?? Tusizungumzie miaka 30 mbele

Tuzungumzie walimu waliofanya kazi miaka 30 iliyopita au wanaostaafu sasa


Inafika hiyo pesa?
Na kikokotoo hiki mmmmh acha tu ndg,kuna sister angu alikua HT amestaafu January kafanikiwa kujenga kijumba kimoja kaanzisha kingine kimeishia lenta kucheki Ballance inasoma amna habari ndo imeishia hapo anakula kapensheni kake kama 400k flan
 
Huwez pia kutamn kuwa DED au RC kama ushafanikiwa.
Mkuu hapa hatubishani hivyo tuongee uhalisia

Mtu anaweza akawa ana uhakika kila mwisho wa mwezi miradi yake inamuingizia kuanzia 10M kwenda mbele ila akichaguliwa kuwa RC atakubali tu


Ila mtu akiwa na uhakika wa kuingiza 2M kila mwezi kwenye miradi yake hawezi kuhangaika na na vichenji vya ualimu


Kumbuka sababu za kukataa ualimu zipo nyingi

1. Dharau
2. Mazingira duni
3. Kazi ngumu
4. Mazingira ya kazi duni hasa vijijini
5. Huduma za jamii duni hasa vijijini (kumbuka walimu wengi wanafanya kazi vijijini kuliko mijini)
6. Hakuna allowance yoyote labda kuwakaza wanafunzi 😃😃

7. Asilimia zaidi ya 95 ya walimu hawaipendi kazi ya ualimu isipokuwa mazingira tu (umaskini) yanalazimisha watu wasomee ualimu

NB: Ninavyouzungumzia ualimu nazungumzia kwa experience maana mimi mwenyewe ni mwalimu na inafundishwa mpaka sasa japo nafundisha kwenye tuition centre tu sio shule.

ila nina ndoto ya kuacha kufundisha any time mipango yangu ikienda vizuri.
 
Mbona walimu wanaheshimika sana kitaaa? Wewe unayewadharau ndo kinyaa! Wana kipato halali hawajaja kwako kukopa! Wanatufundishia watoto wetu! Mungu awabariki sana walimu wetu! Nyerere alikuwa mwalimu! Magufuli alikuwa mwalimu! Zaidi ya 50% ya viongozi wetu (mawaziri na wabunge) walipitia ualimu!
 
Mkuu hapa hatubishani hivyo tuongee uhalisia

Mtu anaweza akawa ana uhakika kila mwisho wa mwezi miradi yake inamuingizia kuanzia 10M kwenda mbele ila akichaguliwa kuwa RC atakubali tu


Ila mtu akiwa na uhakika wa kuingiza 2M kila mwezi kwenye miradi yake hawezi kuhangaika na na vichenji vya ualimu


Kumbuka sababu za kukataa ualimu zipo nyingi

1. Dharau
2. Mazingira duni
3. Kazi ngumu
4. Mazingira ya kazi duni hasa vijijini
5. Huduma za jamii duni hasa vijijini (kumbuka walimu wengi wanafanya kazi vijijini kuliko mijini)
6. Hakuna allowance yoyote labda kuwakaza wanafunzi 😃😃

7. Asilimia zaidi ya 95 ya walimu hawaipendi kazi ya ualimu isipokuwa mazingira tu (umaskini) yanalazimisha watu wasomee ualimu

NB: Ninavyouzungumzia ualimu nazungumzia kwa experience maana mimi mwenyewe ni mwalimu na inafundishwa mpaka sasa japo nafundisha kwenye tuition centre tu sio shule.

ila nina ndoto ya kuacha kufundisha any time mipango yangu ikienda vizuri.
Nakubali. Usifanye kaz kwa wito, fanya kaz kwa maslahi chief.
 
Hii kazi niyakipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwez kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma

Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee

Poleni sana walimu
Umeongea ukweli. Hakika Ualimu sio kazi ya kufanya, imejaa umaskini na UNYONGE mwingi.

Ni kazi ya maskini na waoga wa maisha.

Serikali haitaki kuboresha shule zake Wala kuboresha mazingira ya kazi.

Wapo busy kujiongezea mafao yao na mishahara minono.

TANZANIA KUNGEKUWA HAKUNA MASKINI BASI KUNGEKUWA HAKUNA WALIMU.....
 
Mpwayungu Mimi natamani ualimu jaman sijaajiriwa na degree yangu hii tangu 2015 hao waalimu wa cheti tuu hapa nyumbani wananidharau na ni ndugu zangu [emoji24][emoji24][emoji24] usiombe najuta hata kusoma
Unahitamani kwa sababu ya umaskini wako na kukosa cha kufanya. Ila ukiingia huko baada ya miaka 3 ni majuto tuu.
 
Unahitamani kwa sababu ya umaskini wako na kukosa cha kufanya. Ila ukiingia huko baada ya miaka 3 ni majuto tuu.
kwani tofauti ya walimu na ma afsa maendeleo wa jamii, afsa kilimo, wachumi huko halmashauri ni nini?

mbona scale zao za mshahara ni zilezile, ila anae kandiwa ni ticha tu??
 
Back
Top Bottom