Kaghambe
JF-Expert Member
- Oct 8, 2023
- 588
- 716
Kweli sikatai ila mleta uzi ana hali mbaya bora waalimuTuongee ukweli, hauwezi kutoboa kupitia ualimu
Na hakuna mtu ambaye ana maisha mazuri kisha akaitamani kazi hii
ila watu huwa wanafanya kama njia, anafanya mambo yake mengine yakitick anang'oka