Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Hakuna wa kumkomboa mwalimu isipokuwa wao wenyewe, walimu wanaishi maisha ya hovyo punda akasome lakini bado tuu wapo kwenye kazi.

Mimi nawashauri waache kwanza kazi watafute na kupigania ukombozi wa kifkra ili hii kada angalau ifikie heshima hata ya mlinzi WA makaburi ya kisutu.

Mwalimu ukimkoromea tu anaogopa mpaka anajamba, Nina imani hata ukimtisha akupe pesa kama hataki unamfukuza kazi hiyo pesa atatoa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna wa kumkomboa mwalimu isipokuwa wao wenyewe, walimu wanaishi maisha ya hovyo punda akasome lakini bado tuu wapo kwenye kazi.

Mimi nawashauri waache kwanza kazi watafute na kupigania ukombozi wa kifkra ili hii kada angalau ifikie heshima hata ya mlinzi WA makaburi ya kisutu.

Mwalimu ukimkoromea tu anaogopa mpaka anajamba, Nina imani hata ukimtisha akupe pesa kama hataki unamfukuza kazi hiyo pesa atatoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ualimu ni utumwa

Ualimu ni umaskini

Ualimu ni kazi ya walio choka kifikra

Asilimia 78 ya walimu ni maskini wa kutupwa na hawaeleweki Wana njaa mnoo
 
79796C53-E0D0-4E76-BED7-CE185A61EC90.jpeg
S
ACHA MAKASIRIKO TEACHER WA GEOGRAPHY
 
Nimetoka uraiani ambako nilikuwa na uwezo wa kutengeneza net profit ya milion1.2 kwa mwez ambayo nimekuwa nikiingiza kwa zaidi ya miaka3 mfululizo na biashara yangu bado inauhitaji mkubwa sana, nikaja kwenye ualimu kwa ajili ya mshahara WA lak5 [emoji16][emoji16]
Nimejipa challenge ya miaka mitano kufanya Hii Kazi , kwa sasa Nina miezi 6 kazin tangu niajiriwe , Nina target ndan ya miaka mitano niachane na mambo ya utumish wa serikal nikaendeleze Nguvu kwenye ujasiriamali kama tu nitabakia kuwa Mwalimu WA kuingia darasani kufundisha, [emoji120][emoji120]
Kifupi Hii Kazi sio hasa ukiwa unafanya kijijn
 
Nimetoka uraiani ambako nilikuwa na uwezo wa kutengeneza net profit ya milion1.2 kwa mwez ambayo nimekuwa nikiingiza kwa zaidi ya miaka3 mfululizo na biashara yangu bado inauhitaji mkubwa sana, nikaja kwenye ualimu kwa ajili ya mshahara WA lak5 [emoji16][emoji16]
Nimejipa challenge ya miaka mitano kufanya Hii Kazi , kwa sasa Nina miezi 6 kazin tangu niajiriwe , Nina target ndan ya miaka mitano niachane na mambo ya utumish wa serikal nikaendeleze Nguvu kwenye ujasiriamali kama tu nitabakia kuwa Mwalimu WA kuingia darasani kufundisha, [emoji120][emoji120]
Kifupi Hii Kazi sio hasa ukiwa unafanya kijijn
Ualimu ukiwa kijijini umeuwa ndoto zako
 
Nimetoka uraiani ambako nilikuwa na uwezo wa kutengeneza net profit ya milion1.2 kwa mwez ambayo nimekuwa nikiingiza kwa zaidi ya miaka3 mfululizo na biashara yangu bado inauhitaji mkubwa sana, nikaja kwenye ualimu kwa ajili ya mshahara WA lak5 [emoji16][emoji16]
Nimejipa challenge ya miaka mitano kufanya Hii Kazi , kwa sasa Nina miezi 6 kazin tangu niajiriwe , Nina target ndan ya miaka mitano niachane na mambo ya utumish wa serikal nikaendeleze Nguvu kwenye ujasiriamali kama tu nitabakia kuwa Mwalimu WA kuingia darasani kufundisha, [emoji120][emoji120]
Kifupi Hii Kazi sio hasa ukiwa unafanya kijijn
Omba uhamisho kijana
 
Hii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma

Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee

Poleni sana walimu
sio ualimu tu

uwe shabiki wa simba

uwe sgabiki wa man utd

asikwambie mtu ualimu cha mttoto
 
Hii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma

Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee

Poleni sana walimu
Umeongea ukweli mno mkuu. Wewe fikiria hakuna hata mtumishi mmoja aliyewahi kuomba recategorization kuwa mwaliimu. Ualimu hamna kitu aisee!!
 
Mpwayungu ana hoja asikilizwe.

Ila walimu wakuu si wanalamba Mia mbili unusu kama pesa ya majukumu?

Teaching allowance ipo njiani

Baadhi wa vijijini watalamba nyingine tena Hardship allowance
 
Kibaya zaidi hadi wanafunzi wanapewa ukubwa wasiostahili,
Angalia lile tangazo la haki elimu, wanafunzi wanapewa airtime eti washiriki kwenye vikao vya bodi

Sasa mtu amesoma hadi university halafu akae na mtoto wa form one au four kwenye kikao cha bodi si upumbavu huo

Maana yake walimu pamoja na kusoma hawaaminiki

Mbona vikao vya madaktari hawakai na wagonjwa?

Polisi mbona hawakai na wafungwa?
Wafungwa ni wa Magereza

Watuhumiwa waliopo jera sio Gerezani ndio wa polisi.

Kama ule msemo wa kiingereza usemao kabla ya Gereza Kuna Jera
 
Kuwa mwalimu siyo kosa ila kila mtu pale alipo kwenye kazi anayofanya asiridhike kubaki nafasi hiyo hiyo tunatakiwa tufanye juhudi ndogo ndogo za kila siku ambazo siku moja zitatuweka nafasi nzuri nzuri zaid.
Hakuna kazi mbaya , kazi ni mbaya ukiwa nayo tu ila nje kuna watu wanatamani kuwa hapo ulipo.

Cha msingi kazi hiyo unayoiona ni mbaya itumie kama ngazi ya kupanda hatua nyingine iliyo bora zaid.
Uzi ufungwe

Hoja yako isikilizwe
 
Back
Top Bottom