Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mwl Mpwayungu,una msongo wa mawazo sana na akili yako ni finyu sana.Si ufanye kazi nyingine inayokulipa uache ualimu.Kila kukicha we hoja zako dhaifu sana juu walimu wetu ,wengine wametusaidia sana hadi hapa tulipo mbali ya changamoto zao na siyo wao wenye changamoto pekee.Na haiwezekani watumishi wote walipwe hizo posho au mishaara ya juu.
Tumia muda wako vizuri hapo Kijijini mwl Mpwayungu,lima hata mboga mboga,fuga kuku wa kienyeji,jikite kwenye kilimo au biashara ndogo ndogo itakusaidia kubadili mawazo na kukutoa kwenye msongo wa mawazo uliokuwa nao.
Tuwaheshimu walimu wetu na tuwapende walimu wetu.
Mimi ni mwalimu nakiri kuna muda Mpwayungu Village ana uwasilishaji mbaya wa kuwakera watu


Ila twende mbele turudi nyuma UALIMU sio kazi, tunafanya kwa ajili ya dhiki tu

Anachosema ni ukweli kabisa, tujitafute ualimu sio kazi


Yaani mtu usome hadi degree halafu unakutana na gross salary ya 700,000 ukikatwa makato yote unapata 450,000

H
 
Hamjui chochote mimi Ni mwalimu nimeanza kazi 2012 take home yangu ilikuwa laki nne na point uliza now nachukua shngp Kuna kada nyingi tumewapita kwa mishahara tatizo mnadhani Kila mwalimu grade A
Mkuu

Achana nao.hao hawajui kitu!

Mimi.mwenyewe 2014 nilianza na take home kilo tano na point sasa naogelea kwenye m point!plus vitega uchumi kibao vya zaidi ya kilo sita per month!

Wnafikiri maisha ni kama kufeli kwa mawazo Yao!!
 
Mnacomplicate maisha sana!!

Utajiri au kufanikiwa kimaisha ni mind set na sio tu aina ya KAZI unafanya!!


Wenye hela sana na SIO za mawazo ni wanasiasa tu!!

Wengine bila AKILI kichwani na Strong mindset sahau mafanikio maishani!
Kweli kiongozi, lakini kumbuka walimu 95% wapo kwenye comfort zone, yaani kazi yenyewe inakufanya uwe katika mazingira ya kukufanya ushindwe kufikiria na kufanya mambo makubwa /mabadiliko

Yaani ukiwa katika mazingira ya ualimu/shule hata ufikikiriaji kuhusu maisha yako/hatma au future yako inakuwa limited (job induced comfort zone) kitu ambacho ni ngumu kutoboa


Yaani watu wanaokuzunguka wanaimpact kubwa katika mabadiliko yako

Mtu akiwa mfanya usafi wa benki akawa analipwa 500k ana uwezo wa kumuacha mbali mwalimu kimaendeleo sababu watu anaofanya nao kazi ni somo tosha katika maisha yake (mabadiliko)

Watu na mazingira unayofanywa kazi ni stimulants katika kukufanya udumae au ukue kifikra na maendeleo kwa ujumla


Hasa ukizingatia walimu 98% wametoka katika familia ambazo ni za kimaskini (family induced comfort zone)

NB: Kuna wachache wanatoka katika comfort zone japo ni walimu
 
Kweli kiongozi, lakini kumbuka walimu 95% wapo kwenye comfort zone, yaani kazi yenyewe inakufanya uwe katika mazingira ya kukufanya ushindwe kufikiria na kufanya mambo makubwa /mabadiliko

Yaani ukiwa katika mazingira ya ualimu/shule hata ufikikiriaji kuhusu maisha yako/hatma au future yako inakuwa limited (job induced comfort zone) kitu ambacho ni ngumu kutoboa


Yaani watu wanaokuzunguka wanaimpact kubwa katika mabadiliko yako

Mtu akiwa mfanya usafi wa benki akawa analipwa 500k ana uwezo wa kumuacha mbali mwalimu kimaendeleo sababu watu anaofanya nao kazi ni somo tosha katika maisha yake (mabadiliko)

Watu na mazingira unayofanywa kazi ni stimulants katika kukufanya udumae au ukue kifikra na maendeleo kwa ujumla


Hasa ukizingatia walimu 98% wametoka katika familia ambazo ni za kimaskini (family induced comfort zone)

NB: Kuna wachache wanatoka katika comfort zone japo ni walimu
Uzi ufungwe
 
Nowadays baadhi ya maticha wapo vzr kiuchumi japo weng badooo tia maji tia maji huo ndoo ukwel.... baadhi ya sababu kwa upande wangu..
1. Kuowa au kuolewa mapema mara tu wakiajiriwa..
2. Familia kubwa..
3. Wategemez wengi....
4. Salary bado ndogo sana..
5. Hakuna au wana marupurupu machache sn..
6. Wengi kutoka vjjn wana exposure ndogo..
7. Serikal kuajiri failure miaka flan..zao la kupata walim weng wasio wapambanaj...
8. Etc
 
Sasa kwenye hii nchi sehemu kazi gani upande wa serikali inapesaa mnoo..tukiachana na sekta binafsi na taasisi za umma?
Mwalimu wa degree mshahara wake unaanzia 700k wakati TRA mtu wa degree anaanza na 2M

Sasa hapo unawafananishaje,

Hata hizo taasisi za serikali zinatofautiana mno


Mwalimu wa degree aliajiriwa shuleni ni tofauti na mwalimu wa degree ambaye ataajiriwa NECTA
 
Uzi ufungwe
Mkuu kuna kitu unacho kuhusu walimu sema njia yako unaayotumia mara nyingi huwa si nzuri.


Ila naungana na wewe, ualimu sio kazi ya kuridhika nayo

Kila mwalimu afanye juhudi binafsi ili ahame fani au afanye kitu kingine kinyume na ualimu, yaani kama mtu atafundisha ualimu ubaki kama ni ziada tu
 
Back
Top Bottom