Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
๐คฃ๐๐๐๐๐ ni kweli maana nakumbuka wazazi wangu walikuwa wameokoka ili tuishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unasema vyuo vikuu wale sio WALIMUNdio.
WALIMU wa vyuo.
#YNWA
"Malecturers" Tumia kishwahiliKama unasema vyuo vikuu wale sio WALIMU
Wale ni malecturers na hawajasomea ualimu isipokuwa wanaofundisha ualimu
Mbona wanafanya makubwa huku kitaa harrier nyingi majumba ya madirisha ya aluminum nkHaizidi laki Tatu
Mimi ni mwalimu nakiri kuna muda Mpwayungu Village ana uwasilishaji mbaya wa kuwakera watuMwl Mpwayungu,una msongo wa mawazo sana na akili yako ni finyu sana.Si ufanye kazi nyingine inayokulipa uache ualimu.Kila kukicha we hoja zako dhaifu sana juu walimu wetu ,wengine wametusaidia sana hadi hapa tulipo mbali ya changamoto zao na siyo wao wenye changamoto pekee.Na haiwezekani watumishi wote walipwe hizo posho au mishaara ya juu.
Tumia muda wako vizuri hapo Kijijini mwl Mpwayungu,lima hata mboga mboga,fuga kuku wa kienyeji,jikite kwenye kilimo au biashara ndogo ndogo itakusaidia kubadili mawazo na kukutoa kwenye msongo wa mawazo uliokuwa nao.
Tuwaheshimu walimu wetu na tuwapende walimu wetu.
KumbeeeKote Kuna pesa isipokuwa ualimu, ualimu ni matope ya chooni
I can feel your presence !this I'd is pumping deep as I write!A second Born of yours Bless after Bri...ton!!?Hii hapa naiwekea lamination
Hamjui chochote mimi Ni mwalimu nimeanza kazi 2012 take home yangu ilikuwa laki nne na point uliza now nachukua shngp Kuna kada nyingi tumewapita kwa mishahara tatizo mnadhani Kila mwalimu grade AHaizidi laki Tatu
MkuuHamjui chochote mimi Ni mwalimu nimeanza kazi 2012 take home yangu ilikuwa laki nne na point uliza now nachukua shngp Kuna kada nyingi tumewapita kwa mishahara tatizo mnadhani Kila mwalimu grade A
Ulianza na elimu gani?Mkuu
Achana nao.hao hawajui kitu!
Mimi.mwenyewe 2014 nilianza na take home kilo tano na point sasa naogelea kwenye m point!plus vitega uchumi kibao vya zaidi ya kilo sita per month!
Wnafikiri maisha ni kama kufeli kwa mawazo Yao!!
BachelorUlianza na elimu gani?
Kweli kiongozi, lakini kumbuka walimu 95% wapo kwenye comfort zone, yaani kazi yenyewe inakufanya uwe katika mazingira ya kukufanya ushindwe kufikiria na kufanya mambo makubwa /mabadilikoMnacomplicate maisha sana!!
Utajiri au kufanikiwa kimaisha ni mind set na sio tu aina ya KAZI unafanya!!
Wenye hela sana na SIO za mawazo ni wanasiasa tu!!
Wengine bila AKILI kichwani na Strong mindset sahau mafanikio maishani!
Uzi ufungweKweli kiongozi, lakini kumbuka walimu 95% wapo kwenye comfort zone, yaani kazi yenyewe inakufanya uwe katika mazingira ya kukufanya ushindwe kufikiria na kufanya mambo makubwa /mabadiliko
Yaani ukiwa katika mazingira ya ualimu/shule hata ufikikiriaji kuhusu maisha yako/hatma au future yako inakuwa limited (job induced comfort zone) kitu ambacho ni ngumu kutoboa
Yaani watu wanaokuzunguka wanaimpact kubwa katika mabadiliko yako
Mtu akiwa mfanya usafi wa benki akawa analipwa 500k ana uwezo wa kumuacha mbali mwalimu kimaendeleo sababu watu anaofanya nao kazi ni somo tosha katika maisha yake (mabadiliko)
Watu na mazingira unayofanywa kazi ni stimulants katika kukufanya udumae au ukue kifikra na maendeleo kwa ujumla
Hasa ukizingatia walimu 98% wametoka katika familia ambazo ni za kimaskini (family induced comfort zone)
NB: Kuna wachache wanatoka katika comfort zone japo ni walimu
Mavi YaoMbona wanafanya makubwa huku kitaa harrier nyingi majumba ya madirisha ya aluminum nk
Mwalimu wa degree mshahara wake unaanzia 700k wakati TRA mtu wa degree anaanza na 2MSasa kwenye hii nchi sehemu kazi gani upande wa serikali inapesaa mnoo..tukiachana na sekta binafsi na taasisi za umma?
Wahadhiri"Malecturers" Tumia kishwahili
Najua Kuna Ass. Tutor, Tutor, Ass. Lecturer na Lecture.
Sasa hebu waite kiswahili...
#YNWA
Mkuu kuna kitu unacho kuhusu walimu sema njia yako unaayotumia mara nyingi huwa si nzuri.Uzi ufungwe