Sawa Mwalimu
 
Heshimuni walimu, asingekuwepo mwalimu usingejua kusoma na kuandika, bakizeni watoto wenu nyumbani muwafundishe, wewe ulijua kusoma na kuandika alikufundisha baba yako au mama yako? Acheni dharau, mlisaidiwa hadi kufunga zipu na kutengenezwa sketi zenu, na mafua hadi kifuani, angalia mfano wa mwanao tu hapo kwako anaendaje shule anapoanza madarasa ya awali
 
Heshima haiombwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…