Ulipoteaga hapa kati jamvini. Naskia ulikuwa chaka ukilima mahindi.
 
Kausha damu inawadrive crazy
 
Walimu mbona wapo vizuri kiuchumi sikuizi
 
Kuna walimu ,Wana maokoto si mchezowapo wanaendesha Prado hapa ,mjini na wanaenda tour ,ufaransa ,Hispania na uarabuni uko Dubai paka unaweza SEMA ,uyu ni mwalimu au Ded au meneja
Mwalimu gani anywe bilima kwa mshahara upi? Ukiona mwalimu kashikilia chupa kubwa ya maji ujue katoka semina, 90% ya waalimu wana mikopo ya kauusha damu au ya benki mwalimu mpaka anasitaafu hajawahi kupokea mshahara wake kamiri........
 
Mbona unawadharau walimu wenzako?
 
Kuna walimu ,Wana maokoto si mchezowapo wanaendesha Prado hapa ,mjini na wanaenda tour ,ufaransa ,Hispania na uarabuni uko Dubai paka unaweza SEMA ,uyu ni mwalimu au Ded au meneja
Mavi Yao [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yaani we ungepata zali kama la Insider man....ungeharishia watu kichwani hapo huna chochote kelele miiiiiingi mtu mwenyewe unakula unachopata na sio unachokitaka....kapuku wahedi....
 
Yaani we ungepata zali kama la Insider man....ungeharishia watu kichwani hapo huna chochote kelele miiiiiingi mtu mwenyewe unakula unachopata na sio unachokitaka....kapuku wahedi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…