Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Usiseme ohh ualimu mgumu

Kujiunga fani ya ualimu iwe certificate, diploma au digrii wanaojiunga ni failures walioshindwa kusimoma kwa juhudi wapate division nzuri sekondari wanaolakamika ohh kazi ya ualimu ngumu kwani kusoma sekondari rahisi ? Mbona walipata pass za ajabu za chini mno kwa uvivu wao wa kusoma

Certificate, diploma na digrii za ualimu wanajiunga watu choka mbaya wavivu kusoma wenye pass mbaya sekondari

Akienda chuo malalamishi kibao akiajiriwa kelele kibao sababu culture ya uvivu na kujituma hajaanzia kwenye ajira kaanzia sekondari anakula bata tu halafu anategemea apate pass nzuri Akiajiriwa anataka mausha na bata shule watoto wanafeli hadi basi analilia serikali iboreshe mishahara nk wakati hana cga maana anachofanya shuleni zaidi ya kuzakusha failures

Niombe serikali ianze kupeleka wasomea ualimu division one tu waachabe na hao wapumbavu wa division 2 3 na 4 sekondari kuinua kiwango cha Elimu

Kama serikali ilivyofuta walimu wa UPE

Isidahili tena mtu kusomea ualimu aliyepata chini ya division one sekondari

Tuondokane na hawa wapumbafu secondary failures

Kipindi cha mkoloni best performers mitihani ya sekondari ndio walikuwa wakipewa kipaumbele kusomea ualimu

Sasa hivi best performers wamebaki chuo kikuu tu

Serikali irudishe upesi system ya zamani best performers division one waende ualimu hawa failures waende kuwa machines huko ili kunyanyua kiwango cha elimu

Haiwezekani kunyanyua kiwango cha elimu kwa kutegemea failures secondary walioenda vyuo vya ualimu as failures

Hapana.Wanadai mengi wakati wako hopeless delivery zero wafungishwe virago
Nina TCU guide line ya 2012, ICT ziitakiwa cut off point 2.5 kujiunga chuo. Interior design na architecture nk 3 points. Acha uongo wewe.
Course za eng. Point 3 tu.
Mnajifanya nyie ndio mnajua.
Kozi za uhasibu zilijaza vilaza mpaka wenye zero. Ujanja ujanja wa foundition kozi kisha mtu anadahiliwa.
Labda udaktari na sheria, kozi nyingi zilidahiri kwa kiwango cha EE na DD.
Kwenye maidara mengi wamejaa vilaza hata fluent english hawajui .
Watu kibao wamepiga post grad waahamie ualimu.
Huna unachokijua.
Kwa hio bora mtu asome IT akose ajira ila sio ualimu( una akili wewe ?).
MIKUTANO YA MAKONDA imenizindua kujua maidara yasio ya ELIMU yalivyojaza vilaza.
Nchi hii SMART people wachache sana. Nimejifunza kutoka kwa JPM, Jery Slaa na Makonda kuwa kuna mavilaza LUKUKI kila Idara.
Hizo akili za kupata AA zipo wapi ?( madudu kibao kila idara).
Unakuta LIMTU linajidai lilifaulu ila hakuna cha maana linachofanya kwenye utendaji.
Haloo! Tusichefuane humu. Tunafuatilia mambo kwa kina sana.
 
Walimu nawo hawapo nyuma kwenye matukio ya utata na kinyume na maadili

Screenshot_2024-07-11-01-23-24-10.png
 
Usiseme ohh ualimu mgumu

Kujiunga fani ya ualimu iwe certificate, diploma au digrii wanaojiunga ni failures walioshindwa kusimoma kwa juhudi wapate division nzuri sekondari wanaolakamika ohh kazi ya ualimu ngumu kwani kusoma sekondari rahisi ? Mbona walipata pass za ajabu za chini mno kwa uvivu wao wa kusoma

Certificate, diploma na digrii za ualimu wanajiunga watu choka mbaya wavivu kusoma wenye pass mbaya sekondari

Akienda chuo malalamishi kibao akiajiriwa kelele kibao sababu culture ya uvivu na kujituma hajaanzia kwenye ajira kaanzia sekondari anakula bata tu halafu anategemea apate pass nzuri Akiajiriwa anataka mausha na bata shule watoto wanafeli hadi basi analilia serikali iboreshe mishahara nk wakati hana cga maana anachofanya shuleni zaidi ya kuzakusha failures

Niombe serikali ianze kupeleka wasomea ualimu division one tu waachabe na hao wapumbavu wa division 2 3 na 4 sekondari kuinua kiwango cha Elimu

Kama serikali ilivyofuta walimu wa UPE

Isidahili tena mtu kusomea ualimu aliyepata chini ya division one sekondari

Tuondokane na hawa wapumbafu secondary failures

Kipindi cha mkoloni best performers mitihani ya sekondari ndio walikuwa wakipewa kipaumbele kusomea ualimu

Sasa hivi best performers wamebaki chuo kikuu tu

Serikali irudishe upesi system ya zamani best performers division one waende ualimu hawa failures waende kuwa machines huko ili kunyanyua kiwango cha elimu

Haiwezekani kunyanyua kiwango cha elimu kwa kutegemea failures secondary walioenda vyuo vya ualimu as failures

Hapana.Wanadai mengi wakati wako hopeless delivery zero wafungishwe virago
Nyie vichwa maji ndiyo mnaamini kuwa kwenda ualimu ni waliofeli.
Nitajie kada ipi hapa nchini iliyo na watumishi vipanga kushinda ualimu.
Mwalimu aweze kumfundisha mwanafunzi aweze kupata div. I halafu huyohuyo mwalimu awe failure hacha hizo wewe mtoto wa mama
 
Nina TCU guide line ya 2012, ICT ziitakiwa cut off point 2.5 kujiunga chuo. Interior design na architecture nk 3 points. Acha uongo wewe.
Course za eng. Point 3 tu.
Mnajifanya nyie ndio mnajua.
Kozi za uhasibu zilijaza vilaza mpaka wenye zero. Ujanja ujanja wa foundition kozi kisha mtu anadahiliwa.
Labda udaktari na sheria, kozi nyingi zilidahiri kwa kiwango cha EE na DD.
Kwenye maidara mengi wamejaa vilaza hata fluent english hawajui .
Watu kibao wamepiga post grad waahamie ualimu.
Huna unachokijua.
Kwa hio bora mtu asome IT akose ajira ila sio ualimu( una akili wewe ?).
MIKUTANO YA MAKONDA imenizindua kujua maidara yasio ya ELIMU yalivyojaza vilaza.
Nchi hii SMART people wachache sana. Nimejifunza kutoka kwa JPM, Jery Slaa na Makonda kuwa kuna mavilaza LUKUKI kila Idara.
Hizo akili za kupata AA zipo wapi ?( madudu kibao kila idara).
Unakuta LIMTU linajidai lilifaulu ila hakuna cha maana linachofanya kwenye utendaji.
Haloo! Tusichefuane humu. Tunafuatilia mambo kwa kina sana.
Kada inayoongoza kuwa na vipanga ni hiyo ya ualimu.
Hizo kada za afya na sheria sifa za kwenda huko ni Kuwa na D katika masomo uliyosoma niambie kwenda ualimu wa primary achiliya mbali Secondary sifa ni ipi
 
Tukio moja la mwalimu mmoja linaweza likawashutumu walimimu Milion 1.
Hata yatokee matukio 10 ya wanafunzi Maskangaga mfano kupigwa kwa walimu hayatapewa nafas kubwa otherwise watu wataishia kucheka tu.

Ukiwaza kumlinda mwanafunzi usisahau kumlinda mwalimu.
 
Nina TCU guide line ya 2012, ICT ziitakiwa cut off point 2.5 kujiunga chuo. Interior design na architecture nk 3 points. Acha uongo wewe.
Course za eng. Point 3 tu.
Mnajifanya nyie ndio mnajua.
Kozi za uhasibu zilijaza vilaza mpaka wenye zero. Ujanja ujanja wa foundition kozi kisha mtu anadahiliwa.
Labda udaktari na sheria, kozi nyingi zilidahiri kwa kiwango cha EE na DD.
Kwenye maidara mengi wamejaa vilaza hata fluent english hawajui .
Watu kibao wamepiga post grad waahamie ualimu.
Huna unachokijua.
Kwa hio bora mtu asome IT akose ajira ila sio ualimu( una akili wewe ?).
MIKUTANO YA MAKONDA imenizindua kujua maidara yasio ya ELIMU yalivyojaza vilaza.
Nchi hii SMART people wachache sana. Nimejifunza kutoka kwa JPM, Jery Slaa na Makonda kuwa kuna mavilaza LUKUKI kila Idara.
Hizo akili za kupata AA zipo wapi ?( madudu kibao kila idara).
Unakuta LIMTU linajidai lilifaulu ila hakuna cha maana linachofanya kwenye utendaji.
Haloo! Tusichefuane humu. Tunafuatilia mambo kwa kina sana.
Mwalimu punguza makasiriko
 
Usiseme ohh ualimu mgumu

Kujiunga fani ya ualimu iwe certificate, diploma au digrii wanaojiunga ni failures walioshindwa kusimoma kwa juhudi wapate division nzuri sekondari wanaolakamika ohh kazi ya ualimu ngumu kwani kusoma sekondari rahisi ? Mbona walipata pass za ajabu za chini mno kwa uvivu wao wa kusoma

Certificate, diploma na digrii za ualimu wanajiunga watu choka mbaya wavivu kusoma wenye pass mbaya sekondari

Akienda chuo malalamishi kibao akiajiriwa kelele kibao sababu culture ya uvivu na kujituma hajaanzia kwenye ajira kaanzia sekondari anakula bata tu halafu anategemea apate pass nzuri Akiajiriwa anataka mausha na bata shule watoto wanafeli hadi basi analilia serikali iboreshe mishahara nk wakati hana cga maana anachofanya shuleni zaidi ya kuzakusha failures

Niombe serikali ianze kupeleka wasomea ualimu division one tu waachabe na hao wapumbavu wa division 2 3 na 4 sekondari kuinua kiwango cha Elimu

Kama serikali ilivyofuta walimu wa UPE

Isidahili tena mtu kusomea ualimu aliyepata chini ya division one sekondari

Tuondokane na hawa wapumbafu secondary failures

Kipindi cha mkoloni best performers mitihani ya sekondari ndio walikuwa wakipewa kipaumbele kusomea ualimu

Sasa hivi best performers wamebaki chuo kikuu tu

Serikali irudishe upesi system ya zamani best performers division one waende ualimu hawa failures waende kuwa machines huko ili kunyanyua kiwango cha elimu

Haiwezekani kunyanyua kiwango cha elimu kwa kutegemea failures secondary walioenda vyuo vya ualimu as failures

Hapana.Wanadai mengi wakati wako hopeless delivery zero wafungishwe virago
Wewe una professional gani,mazingira ya kupata elimu Nchi hii ni magumu,umewahi soma kwa kibatari wewe na chakula unapika mwenyewe,Nchi hii imepitia mengi.Umeme tuu hapa ni Mwenda zake katuokoa tulikuwa tumeshikwa mazima.
 
Kada inayoongoza kuwa na vipanga ni hiyo ya ualimu.
Hizo kada za afya na sheria sifa za kwenda huko ni Kuwa na D katika masomo uliyosoma niambie kwenda ualimu wa primary achiliya mbali Secondary sifa ni ipi
Hujaelewa hapo. Nimesema kabda sheria na Udaktari zingine cut off point zao zipo chini mfano ICT I ila ni kwa guide line ya 2012 sijui za sasa maana hazinihusu. Unashindwaje kuelewa ?
Zifa za vyuo ni zile zile. Mi nimekuwekea ushahidi sasa wewe ulitakiwa uweke ushahidi wa kuwa sifa za kujiunga ualimu zipo chini. Halafu ualimu sio certificate tu. Elimu yako inakwambia ualimu ni certificate tu ?
Halafu ujifunze kutofautisha kufeli na kupata daraja la chini.
Hakuna kozi inapokea watu waliofeli kama UHASIBU. Wanavikozi vya kuunga unga ili mtu asajiliwe cheti na diploma.
Unataka kuniamisha kuwa kusoma UTALII point zake zipo juu kuliko UALIMU ?
Hizi hoja na mabezo yenu yanahitaji data.
Hata ule ufaulu wa walimu wanapohitimu ulinganishwe na ule wa kozi nyingine ndio muhitimishe kuwa walifeli.
 
Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.

Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.

Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.

Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau

Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni

NIView attachment 3038701
Ualimu, udaktari, ustawi wa jamii, sheikh, upandri, upasta, uaskofu ni ni..
NI WITO.M
KAMA HUWEZI ACHANA NAZO
 
Back
Top Bottom