Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Karibu Mpwayungu tulikumiss sana wape punch za kutosha walimu, siku hizi wamekuwa waharibifu wa wanafunzi.!!
Kuna mmoja jana kafikishwa mahakamani kwa kumlazimisha mwanafunzi amuingilie kinyume kinyume na wengine wanadanga na kutuma picha chafu..!!

Karibu kabali yao uwakande 😹
Ni tukio la kusikitisha sana, mungu atusamehe. Walimu akili zao zinakuwa ndogo mno
 
Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.

Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.

Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.

Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau

Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni

View attachment 3038701
The return of the Superman

Aaahaaa
 
Mbali na Walimu, mimi watu wengine ninaowachukia na kuwaona ni wa hovyo ni Waafrika.

Ni wajinga sana yaani, akili ndogo kama punje ya haradali. Wanapenda kukopa sana kama Walimu, yaani unakuta hata Mpwayungu Village ana madeni mengi hapo alipo, ilhali rasilimali za kumfanya asiwe na madeni zipo.

Waafrika wanakuwaga washamba washamba tu kama Walimu. Sijui watabadilika lini tu hawa wapuuzi. Ndo maana mimi Lord Delamere in Kenya niliamua kuja kuwekeza Kenya labda Waafrika watajifunza kupitia maisha yangu but nothing kwakweli walichokifanya. Hovyo kabisa.

Just imagine eti mshahara wa mwaka mzima wa Lionel Messi ambao ni trilioni chache tu ni sawa na bajeti ya mwaka mzima ya Wizara tatu pale Tanzania. Sidhani kama Wananchi wa hiyo nchi (akiwamo mleta uzi) kama wana akili timamu.
 
Karibu Mpwayungu tulikumiss sana wape punch za kutosha walimu, siku hizi wamekuwa waharibifu wa wanafunzi.!!
Kuna mmoja jana kafikishwa mahakamani kwa kumlazimisha mwanafunzi amuingilie kinyume kinyume na wengine wanadanga na kutuma picha chafu..!!

Karibu kabali yao uwakande [emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanadanga na kutuma picha chafu? Kina nani hao?
 
Back
Top Bottom