Mm sitoi kazi bossDah.
Nipe kazi tofauti na hii mkuu
Kuna mtu kabisha?HAPANA YESU ANATUFUNDISHA KUHESHIMU
NDIO UMEBISHA KWANI HUONI ULICHOPOSTKuna mtu kabisha?
Anaheshimiwa anayejiheshimu.NDIO UMEBISHA KWANI HUONI ULICHOPOST
Kazi bila maadili ni kazi-bure.Kazi ni kipimo cha utu
Fedheha!Walimu jaribun kuepuka hizi fezeha
Mimi ni mwalimu pia unasemaje kuhusu sisi...This job is hell on earth!!. Hawa watu wametapakaa mitaani kama jobless kumbe watumish.
Fursa ya sensa wapo, fursa ya kuandikisha daftar la kudumu wapo, fursa za kuhesabisha na kusimamia kura wapoo, anuani za makazi waoo tu,.
Unashindwa kuelewa whats wrong nahawajawahi kuelimika wala kupiga hatua. Walimu jaribun kuepuka hizi fezeha
Tunawaheshim Ila nyie mnajidisvalue, just imagine ticha unaenda kukopa pesa kwa mwanafunz πππ
Biashara zao ni vitumbua na ubuyu shuleni over. Sasa utatajirika vipi
Take care otherwise mtakuwa poverty ambassador whole life
why uite watu ni wajinga kisa tu hawajui kusoma na kuandika. wewe unajua kila kituFedheha!
Ualimu ni kazi nzuri sana. Inasaidia kuwaondolea watu ujinga. Suala la maslahi lisisababishe uuone ualimu ni kazi mbaya. One day yes!
Ngoja kidogo, kamari ni biashara halali je Yesu anatufundisha nayo kuiheshimuu?.HAPANA YESU ANATUFUNDISHA KUHESHIMU KILA KAZI YA MMOJA WETU IKIWA TU NI KAZI HALALI
UNYENYEKEVU NI MUHIMU NA TUIGE MFANO WA KRISTO WOTE NI WAPITAJI HUMU.
Yesu alisha wahi kua na kazi au kuajiliwa popote sasa masuala ya kazi aliajulia wapi? Yeye kwa uoga wake alikimbia dunian haraka miaka 33 tu angeka mpaka miaka 60 asingetoboa acha maisha hayaHAPANA YESU ANATUFUNDISHA KUHESHIMU KILA KAZI YA MMOJA WETU IKIWA TU NI KAZI HALALI
UNYENYEKEVU NI MUHIMU NA TUIGE MFANO WA KRISTO WOTE NI WAPITAJI HUMU.
Sasa mbona unanisimanga na kazi yangu ya ukufunzi?Mm sitoi kazi boss