Mpwayungu the great kwenye ubora wako, tunaomba ukaimalizie hile story yako ya Lindi acha uzwazwa.
 
Ulianza kuwadharau walimu kitambo inavyoonekana,
maana usingeandika
Vinala badala ya Vinara.
Walimu ndio walianza kumdharau mpwayungu na walimtesa sana kule Lindi acha hawazodoe, mpwayungu alikuwa kama ndondocha acha hawachukie 😂😂😂😂😂😂, kasome story yake utajua kwanini hawapendi walimu na muda mwingine anawaonea huruma.
 
Hivi huyu huwa hana mada yoyote zaidi ya topic za walimu.

Kweli JF imeingiliwa, kila cku ana topic moja tu basi,,inafikia hatua hata uzi wake huwezi soma coz dairy ni topic moja tu.

Nipo JF miaka zaidi ya 7 naona hili jina ni jipya la mpyayunge village.

Kweli JF ni kama kokolo inabeba kila mtu.

Kila la kheri katika harakati zako mpya za kudeal na walimu tu.
 
Wewe ulitaka aandike nini! Eti upo jf for 7 years ila mbona bado una mawazo na mtazamo wa kipuuzi
 
Wewe ulitaka aandike nini! Eti upo jf for 7 years ila mbona bado una mawazo na mtazamo wa kipuuzi
Uko sahihi kabisa unaweza kuwa mtazamo wa kipuuzi kutoka na uwezo wako wa kuchambua mambo.

Ukiona ni mtazamo wa kipuuzi is ok maana uwezo wako wa kufikiri umechambua andiko langu katika uelekeo.

Au,wewe ndiyo wale anakuwa na acc nyingi hlf UZI wake anakuwa anachat mwenyewe kwa majina tofauti.

Kwa sisi wakongwe wa JF tuna uzoefu na humu, na tuna watu wenye heshima zao na walio kundi la GREAT THINKER

Hawakupata heshima hizo kwa kujibu hoja kwa mihemko.
 
Mjinga tuu wewe! Wewe unatakiwa uje na hoja zako wala sio kuelekeza humu ! Eti watu wenye heshima ndio nini! Acha kujidai mjuaji boya wewe
 
Acheni dharau mnataka kutuambia walimu vyuo vyote walikopita walikuwa hawafaulu mitihani yao? Je mnatuambia na wakufunzi walio wafundisha nao ni vilaza. Acheni hizo mna njama za kukwepa kuajiri walimu kwa kigezo kuwa wamefeli mitihani mliowapa wakati wamefaulu mitihani yao iliyohusu kada yao ya ualimu walipokuwa cchuoni. SIUNGI MKONO HOJA KWA KUFANYA HIVYO MNADHALILISHA HATA WAKUFUNZI WA UWALIMU WENYEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…