Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda huna mtoto
Duuh aisee...afu ufeli somo lake Mungu anakumezaWakati nipo advance kuna ticha mmoja alinisanua kuwa kuna mwalimu mwenzao anapokea 16,000/= kwa mwezi, yani ana makato ya kila aina kudadeki. Kila mwezi watu wanachukua chao yeye anabaki na hyo.
Lambo hotel iko wapiMtoa mada unafanya kazi lambo hotel mambo ya walimu unayajuaje na wewe ni baarmedi. Mtu yeyote ukifika lambo hotel mhudumu aliyevaa jezi namba nne ndio huyu Mpwayungu Village
Mkuu huyo mwalimu aliyekua anakuambia hiyo story akili yake iko resi just imagine wewe uwe mwalimu unamwambiaje mwanafunzi hizo story za ki wack hizoWakati nipo advance kuna ticha mmoja alinisanua kuwa kuna mwalimu mwenzao anapokea 16,000/= kwa mwezi, yani ana makato ya kila aina kudadeki. Kila mwezi watu wanachukua chao yeye anabaki na hyo.
sikweliIfike mahali mjitambue, na mtambue, Mwalimu ni mtu muhimu sana katika maisha yako
SibishaniUsidanganye watu bhana,hakuna septa ya government inayoruhusu mtu kupokea elfu 16000,mwajiri na utumishi anasaini asimia acha kuwadanganya watu,wewe si umeweka card yako nje?
Mkoa Ruvuma, wilaya Namtumbo. Jina la shule utajiongeza mwenyeweHakuna mwajiri anasaini pesa hiyo,alete details tufwatilie
Walimu wanastahili heshima kama taalum nyingine yyt!Muyangu kama una kiasi kidogo cha pesa ukitaka kusubiri kesho utatoa ATM please toa saizi tena shukuru Mungu nimekusanua uzuri Leo walimu wametoka kapa walikuwa wanaingia ATM kila mda kuuliza salio Bank inawaambia insufficient balance lakini bado jioni hii tena wanaingia kuuliza ATM inawaambia waache usumbufu sasa nenda saizi ukatoe pesa yako uepuke kesho foleni ya walimu ukienda kesho utajuta
Hawa watu hawatakagi kwenda Kwa NMB wakala Wala kutumia NMB mkononi wanakwepa makato ya buku tatu tu, saizi wanahaha wanapwipwitwa wanaona siku haisogei Jana na Leo ni ngumu kumeza wanaungulia maumivu ya Moto tumboni kimya kimya
Walimu tafuteni chanzo cha kipato mshahara huwa hautoshi maisha mliyonayo niyakimbuzi sana yaani
Nipatie details in boxMkoa Ruvuma, wilaya Namtumbo. Jina la shule utajiongeza mwenyewe
Uongo,Wakati nipo advance kuna ticha mmoja alinisanua kuwa kuna mwalimu mwenzao anapokea 16,000/= kwa mwezi, yani ana makato ya kila aina kudadeki. Kila mwezi watu wanachukua chao yeye anabaki na hyo.
Mnaopata changamoto ni nyie mnaowafuatilia,kwani wao wanakosa usingizi sasaKuwa mwalimu Tanzania ni changamoto sana.