Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo bwege! Degree ni 700k plus anayeanza kazi Sawa na bwanamifugo wa wilayaHivi wanapata kiasi gani mshahara? Kuanzia mwalimu wa primary hadi sekondary? Ngazi ya cheti,dip ,ad dip/degree?
MadamKwakweli bora wewe unatusemea.
DahSerikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan
Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Kufika huko TGTS I si anakaribia kustaafu aisee,na majukumu akiwa nayo mengi tayariWalimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.
Safi sana mama Samia
Abeee🤣Madam
Nikajua(ga) we muhasibuAbeee🤣
🤣🤣🤣🤣 Wewe hujui mwalimu ni kila kitu?Nikajua(ga) we muhasibu
Mkuu, watumishi wote chini ya muajiri mkurugenzi wa Halmashauri hali ni mbaya. Chukua walimu, watumishi wa afya hali inasikitisha. Nawaonea huruma waajiriwa na wanaofanya internship kwenye taasisi binafsi za afya na nafasi za ajira serikalini zinapotoka wanazishobokea🤣🤣Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan
Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Unazijua kanuni za kupanda daraja ni Kila baada ya miaka mingapi?Kufika huko TGTS I si anakaribia kustaafu aisee,na majukumu akiwa nayo mengi tayari
Mi napenda walimu kwa sababu ya malezi ya watoto🤣🤣🤣🤣 Wewe hujui mwalimu ni kila kitu?
Hazifatwi mpaka rais aamue mwenyewe, kipindi cha mwendazake hakutaka kuwapandishaUnazijua kanuni za kupanda daraja ni Kila baada ya miaka mingapi?
Wenyewe hawana habari na hela ya fomu washamchangia mamaSerikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Ungeweka na umri wa huyo mtumishi kazini! Sio kuwapa moyo vijana wanaotoka vyuo, kumbe ni mshahara wa mtu aliyebakisha miezi 6 kustaafu.Walimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.
Safi sana mama Samia
Huwa hazifuatwi mzee,ni mpka Rais wako aamue. Kuna watu wameajiriwa 2018 mwezi wa tatu,wamepanda daraja mwaka huu JulyUnazijua kanuni za kupanda daraja ni Kila baada ya miaka mingapi?
Ss unataka tufanyeje si bora kufanya hayo kuliko kuwa jobless unaomba hadi buku la vocha kwa mzazi tenaMkuu, watumishi wote chini ya muajiri mkurugenzi wa Halmashauri hali ni mbaya. Chukua walimu, watumishi wa afya hali inasikitisha. Nawaonea huruma waajiriwa na wanaofanya internship kwenye taasisi binafsi za afya na nafasi za ajira serikalini zinapotoka wanazishobokea🤣🤣
Hili swali nimewahi kuuliza humu mara kadhaa sikupata majibu nahisi wanaona aibu kusema mshahara wao kwa kuwa ni mdogo sana!Hivi wanapata kiasi gani mshahara? Kuanzia mwalimu wa primary hadi sekondary? Ngazi ya cheti,dip ,ad dip/degree?