Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Walimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.

Safi sana mama Samia
 

Attachments

  • Screenshot_20240804-213102~2.png
    Screenshot_20240804-213102~2.png
    142 KB · Views: 3
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan
Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn

Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Dah
Hii umetunga
 
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan
Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn

Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Mkuu, watumishi wote chini ya muajiri mkurugenzi wa Halmashauri hali ni mbaya. Chukua walimu, watumishi wa afya hali inasikitisha. Nawaonea huruma waajiriwa na wanaofanya internship kwenye taasisi binafsi za afya na nafasi za ajira serikalini zinapotoka wanazishobokea🤣🤣
 
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn

Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Wenyewe hawana habari na hela ya fomu washamchangia mama
 
Walimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.

Safi sana mama Samia
Ungeweka na umri wa huyo mtumishi kazini! Sio kuwapa moyo vijana wanaotoka vyuo, kumbe ni mshahara wa mtu aliyebakisha miezi 6 kustaafu.

Daktari anaanza na chini ya tzs 1,900,000.
 
Mkuu, watumishi wote chini ya muajiri mkurugenzi wa Halmashauri hali ni mbaya. Chukua walimu, watumishi wa afya hali inasikitisha. Nawaonea huruma waajiriwa na wanaofanya internship kwenye taasisi binafsi za afya na nafasi za ajira serikalini zinapotoka wanazishobokea🤣🤣
Ss unataka tufanyeje si bora kufanya hayo kuliko kuwa jobless unaomba hadi buku la vocha kwa mzazi tena
 
Sema maskini wengine huko mtaani wanaona walimu wametoboa, ila kiukweli wana njaa kali sana.
Walimu asubuh wanagombania mihogo ya kukaanga na wanafunzi, utasema kuna maisha hapo? Hakuna mtu atafungua hata mgahawa auze supu pembeni ya shule!
 
Back
Top Bottom