Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn

Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Ifike sehemu wewe na walimu mkae chini mmalize tofauti zenu aiseee.
 
Ila walim mbona wana maisha mazur tu juzi tu hapa wametoka kuandikisha uchaguz hela aliyopata hawez kuanzisha ujenzi ukiplus na mshahara wake na mwaka huu wanasimamia uchaguz mwakan tena uchaguz mbona wako vzur tu
 
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn

Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Kama vipi Mpwayungu apewe tu nchi, ili awatetee walimu pamoja na watu wa makundi mengine katika jamii. Kampeni meneja wake atakuwa Lucas Mwashambwa.
 
Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma

Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Lengo ni kuwa demoralize walimu, watoe elimu hafifu, kipatikane kizazi mbumbumbu ili azimio la Mwitongo liweze kufanya kazi vizuri, mwisho wa siku nchi iendeshwe kwa matakwa ya viongozi wachache waliorithishwa vyeo na wazazi wao waliostafu uongozi
 
Back
Top Bottom