Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KimeumanaKimewaka 😂
Ifike sehemu wewe na walimu mkae chini mmalize tofauti zenu aiseee.Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
Hili swali nimewahi kuuliza humu mara kadhaa sikupata majibu nahisi wanaona aibu kusema mshahara wao kwa kuwa ni mdogo sana!
Kama vipi Mpwayungu apewe tu nchi, ili awatetee walimu pamoja na watu wa makundi mengine katika jamii. Kampeni meneja wake atakuwa Lucas Mwashambwa.Serikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Wanaishi maisha ya kunuka, maisha yakutupwa below poverty line, Wana red light ya kuishi maisha ya hatari mana kwa binadam wa kawaida si rahisi kuishi kwa mshahara wanaopewa, hawa ni binadam sio nguruwe naomba muwakumbuke
CHADEMA choka mbaya kwa sasa.Chadema saizi hoi
😂😂😂Ifike sehemu wewe na walimu mkae chini mmalize tofauti zenu aiseee.
Leo asiyefaa kafaa..,walimu mbona kama huwa mnamtukana vibaya sana bwana huyu, ila leo kafaaa😂😂Kwakweli bora wewe unatusemea.
Lengo ni kuwa demoralize walimu, watoe elimu hafifu, kipatikane kizazi mbumbumbu ili azimio la Mwitongo liweze kufanya kazi vizuri, mwisho wa siku nchi iendeshwe kwa matakwa ya viongozi wachache waliorithishwa vyeo na wazazi wao waliostafu uongoziSerikali msipochukua hatua za haraka hawa watu tutawaweka kwenye kund la special grup ili tuanze kupeleka charity centers mpaka kwa walimu maana sio kwa maisha magumu wanayoishi, wanakuwa kama wafungwa wa keko ahsee. Waoneeni huruma
Mwalimu analipwa mshahara mdogo sana pia ni mtumishi peke ambae Hana posho ndio mana wanadharaulika mitaan, Ukiona salary slip ya ticha unaona muokota makopo anaenjoy jmn
Kujiongeza au useme waibeKufanya kazi ya ualimu au halmashauri bila kujiongeza lazima ufe masikini
Sio lazima iwe kuibaKujiongeza au useme waibe
Hii ni kweli!!?????Jamaa kuna wakati alitangaza akipatikana mtu mwenye 50m anakubali kumpa kinyeo.
Ni kweli.Hii ni kweli!!?????
Basi ni hatari zaidi yeye kuliko walimu na ualimu anaokandia kila leo.Ni kweli.