Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
downloadfile.jpg
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawezi hata wauze ubuyu na barafu shuleni.

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao.

Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda wa kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari.

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
 
Walimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.

Safi sana mama Samia
Kaingia G akiwa na umri gani
 
Dah umenikumbusha nilivyokuwa nakula chipsi yai gereza la Keko ,nikawa na kitambi kikubwa nilivyotoka watu wanasema nilienda kozi kumbe nilikuwa nyuma ya nondo .

Kazi zangu zilikuwa kufyeka tu nyasi kakipande ka Sacco's tu na kupigisha story wafungwa kuhusu maisha ya uraiani hakika yalikuwa maisha mazuri kuliko ya baadhi ya walimu aise
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Ebu nenda kwa mkuu wa gereza la keko uombe nafasi kukaa gereza ka KEKO japo miezi mi3,alafu uje nikupime MARINDA!!! ukiwa salama ntashangaa,,kwanza ukii ngia tu gerezani utasikia makofi yakipigwa huku kibwagizo kikiwa "mwali,mwali,mwali" wimbo huo unatoka kwenye vinywa vywa wafungwa,,,pale kuna wa2 wanaupiru wa niaka kibao,,,yaani wakikona wewe watafikiri wamemuona hamisa mobeto!!!!!.......YEEEEEEEEEEEEEEEEEEES and from that day " you start to value teachers"
 
Mkuu mimi ni mwalimu kwa miaka kumi sasa. Nakuunga mkono na nina mengi ya kusimulia sema tu nchi yetu bado haina uhuru wa mawazo. Nitatafuta platform nzuri niweze kuiandikia serikali na kuishauri vizuri namna ya kutatua changamoto za walimu katika hali hii hii ya uchumi tuliyo nayo. Ni kwa bahati mbaya sana hakuna hiyo political will ya kuboresha maisha ya walimu

Ni bahati yangu tu mimi mchagga nilijiongeza sana mitaani lakini kusema ukweli 98% ya walimu wa mijini hawamudu milo mitatu kwa familia zao! Very sad 😢
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda m
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭

mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Mitandao ya kijamii inasababisha mental illness mbaya sana mfano ni kwa mtoa mada anaweza Dhani mtoa mada kajipaaaaata kumbe naye kwangu pakavu heshimu kazi ya mtu mzee us long us ndo inamletea mkate wake mezani ambao ni halali.
 
Back
Top Bottom