Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ifike 2025 utajua akili zaoMbona masimamgo blood kwa waalimu.
🤣🤣🤣🤣Jamaa yangu umerudi tena, Heri ya mwaka mpya
Kaingia G akiwa na umri ganiWalimu Gani hao waburundi au Tanzania chini ya kipenzi Cha watumishi wa umma Mama Samia? Huu ni mshahara WA mwalimu daraja G,Bado H na I,akifika I anakunja 3M.
Safi sana mama Samia
Ebu nenda kwa mkuu wa gereza la keko uombe nafasi kukaa gereza ka KEKO japo miezi mi3,alafu uje nikupime MARINDA!!! ukiwa salama ntashangaa,,kwanza ukii ngia tu gerezani utasikia makofi yakipigwa huku kibwagizo kikiwa "mwali,mwali,mwali" wimbo huo unatoka kwenye vinywa vywa wafungwa,,,pale kuna wa2 wanaupiru wa niaka kibao,,,yaani wakikona wewe watafikiri wamemuona hamisa mobeto!!!!!.......YEEEEEEEEEEEEEEEEEEES and from that day " you start to value teachers"Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.
Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni
Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari
Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Mitandao ya kijamii inasababisha mental illness mbaya sana mfano ni kwa mtoa mada anaweza Dhani mtoa mada kajipaaaaata kumbe naye kwangu pakavu heshimu kazi ya mtu mzee us long us ndo inamletea mkate wake mezani ambao ni halali.Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.
Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni
Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda m
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.
Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni
Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari
Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari
Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭