Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Lkn miaka hii kuna walimu wapo good tu economically japo sio wengi ... nowadays shule mingi zna tu gari nje twa maticha hii ni improvement kubwa....kipind npo o-level nlkuwaa nakaa kwa faza mdogo ni ticha aseee tulikuwa tunakosa hadi unga wa ugali.....
Walimu wanaoenda na magari shule ni wake wa wakubwa kutoka sehemu nyingine nje ya ualimu.
Au kama ni mwalimu wa kiume ujue ana mishe nyingine nje ya ualimu.

Mostly walimu wengi wanaishi kwenye ufukara sio kwa dharau ila ndio ukweli.
Ni kada muhimu sana lakini maslahi yao duni na kila mtumishi wa serikali hujifanya ni boss wa mwalimu.
Poleni walimu wa Tanganyika haki zenu mtalipwa mbinguni.
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawezi hata wauze ubuyu na barafu shuleni.

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao.

Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda wa kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari.

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Kataa ualimu. Say no to teaching.
 
Yani hawa watu ndo wahanga wa kutapeliwa, utaskia wametapeliwa na QNET saa zingine mpaka wale wa tuma kwa Namba hii walimu wanapigwa sana za uso 🤣🤣🤣🤣

Nataka kujua why walimu. Mabenk mengi yanawachapa sana maticha mpka Chama Chao cha CWT kinawatapeli

Inamana Elimu yao ndogo sana? Hawa watu niwaajab sana

Juzi Kuna ticha alikuja kwangu na kishkwambi nimuunge Facebook
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina KASIMU na MWIGULU mwende mkalitazame hili jambo tujue "tunakwenda vipi".

Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vya walimu kutapeliwa mishahara yao, sasa mwende mkalitazame tuone jinsi ya KUBORESHA akili za walimu.
 
tuxpi.com.1722960591.jpg
 
Back
Top Bottom