Maoni;ni vitu gani vilikupa wakati mgumu wakati unaingia ndani ya JF kwa Mara ya kwanza?

Maoni;ni vitu gani vilikupa wakati mgumu wakati unaingia ndani ya JF kwa Mara ya kwanza?

Mm mpaka leo, kuweka picha humu kunanishinda mwenzenu
Ukitaka kuandika comment hapo kwenye send kuna vialama chagua hicho cha katikati kitakupeleka kwenye file la picha kisha utaupload kama kawaida,ili ijae screen yote utabonyeza full screen kisha click send
 
Ukitaka kuandika comment hapo kwenye send kuna vialama chagua hicho cha katikati kitakupeleka kwenye file la picha kisha utaupload kama kawaida,ili ijae screen yote utabonyeza full screen kisha click send
Ahsante my ntajaribu
 
senior member...Jf expert member...gold member..verified user...n.k vilinipa tabu kuvijua mwanzoni
 
Nilikuwa nakereka sana na baadhi ya watu, ila sasa hivi hamna anayenipa shida, nshazoea maneno yao
 
Habari zenu, kama title inavyojieleza, pindi unajiunga na JamiiForums kwa mara ya kwanza nadhani kila mtu kuna vitu/ maneno yalimpa wakati mgumu sana. Hakika mimi mwenyewe kuna mambo/ maneno yalinipa shida Sana ndio nikaja kuyaelewa maana yake.

Mfano wa maneno hayo ni kama,
1. Msambwanda
2. Papuchi
3. Avatar
Wewe je?, ongezea tupanuane bongo.
 
Back
Top Bottom