Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Si ndio kuwabeba ili wafaulu kila mwaka zanzibar wanakuwa wa mwisho labda kwa kuwa wamekariri quran watapata A+ za islam ufaulu upandeVyuo vingi vipo duniani,na sasa pia watu wanasoma online.Tumia akili.
Nimekula supu ya kitimoto sheikh karibuUmeshakunywa chai?
Vyuo viko vingi duniani.Hata online watu wanasoma.Na pia si mnasema waislamu hawataki kusoma,wanaishia madrasa,sasa wasiwasi wa nini tena,na wataishia madrasa.Ukiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha ukristo.
Si ndio maana serikali imeamua ilathimishe madrasa kwa kuihamishia kwenye mifumo rasmi ya eleimu madrasa na islam knowledge ni lugha tu madrasa kiswahili islam knowledge kingereza ila wote watasoma quran na kwa kiarabuVyuo viko vingi duniani.Hata online watu wanasoma.Na pia si mnasema waislamu hawataki kusoma,wanaishia madrasa,sasa wasiwasi wa nini tena,na wataishia madrasa.
Ni uamuzi wako na hujavunja sheria ya nchi.Nimekula supu ya kitimoto sheikh karibu
Itakuja futwa tu baada ya mama kizimkazi kuangukia pua 2025Ukiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha ukristo.
Tafsiri yko ya uelewa imeishia kwenye udini udiniUkiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka
Njoo tule kitimotoNi uamuzi wako na hujavunja sheria ya nchi.
Baada ya hapo kuna mitano tena nadhani tutaslimu woteUsitarajie chochote cha maana kwa sababu wajinga wapo madarakani
Ni hivyo tu.
Nikipewa reasonable fact za uwepo wa islam kwenye mitaala yetu naweza badilisha msimamo.Tafsiri yko ya uelewa imeishia kwenye udini udini
Umesoma ELIMU ya KIISLAMU VIZUR? Au chuki tuu zakutawala??Ukiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha ukristo.
Ata kwa upanga siwezi silimuBaada ya hapo kuna mitano tena nadhani tutaslimu wote
Mimi sijaenda madrasa japo nimepitia jinsi mlivyo chinjana kwa kutoelewana kuhusu tawheedUmesoma ELIMU ya KIISLAMU VIZUR? Au chuki tuu zakutawala??
Nchi ikiongozwa na waislamu udini ndio kipaumbele chaoAta kwa upanga siwezi silimu
Tatizo tulilonalo hapa ni wanasiasa kuchezea elimu yetu.