Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
- Thread starter
- #41
Upeo wako wa kufikiri umefikia mwisho.Wanakukaza wanyamwezi WENZAKO si bure
Wewe unakazwa na mudi na majini yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upeo wako wa kufikiri umefikia mwisho.Wanakukaza wanyamwezi WENZAKO si bure
Bible knowledge Wameiondoa.Mbona Bible Knowledge ipo kitambo sema Serikali waifanyie mchakato ipate combi Yake A level.
Ndio itumike nguvu hivi?Wewe usiposilimu unamshughulisha nani miaka 5 mbele ulaya yote inaende kusilimu
Angalia uengereza Ufaransa na hata huko Marekani tafiti zaonesha UISLAMU ndio DINI inayokua Kwa Kasi sana pamoja na mateso yote wanayoyapata waislam
Makanisa mangapi uengereza yamegeuzwa misikiti
Watu washachoka kuuzima maji ya upako na kuibiwa pesa zao
Ukristo ni janga jipya la Dunia ukibisha REJEA SHAKAHOLA
Hata iyo mitihani hawatofaulu kwa wingi wajukuu wa mudi tunawajuaWagalatia mnaogopa nn ?😅😅😅watu waoga sana hawa .
Unaota wewe 🤣🤣Wewe usiposilimu unamshughulisha nani miaka 5 mbele ulaya yote inaende kusilimu
Angalia uengereza Ufaransa na hata huko Marekani tafiti zaonesha UISLAMU ndio DINI inayokua Kwa Kasi sana pamoja na mateso yote wanayoyapata waislam
Makanisa mangapi uengereza yamegeuzwa misikiti
Watu washachoka kuuzima maji ya upako na kuibiwa pesa zao
Ukristo ni janga jipya la Dunia ukibisha REJEA SHAKAHOLA
Hebu achaneni na hayo mambo ya kipuuzi, mnashinda kutupigia kelele kila siku tahasusi, kwani wamekulazimisha usome hayo masomo ya waisilamu si usome tu dinivity yako?Ukiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha Ukristo.
Hivi umo mwenye dini huwa mnaf..ana au mnalogwa kwanza, mbona mnaandika pumba sana kila mtu akivutia kwake.Wewe usiposilimu unamshughulisha nani miaka 5 mbele ulaya yote inaende kusilimu
Angalia uengereza Ufaransa na hata huko Marekani tafiti zaonesha UISLAMU ndio DINI inayokua Kwa Kasi sana pamoja na mateso yote wanayoyapata waislam
Makanisa mangapi uengereza yamegeuzwa misikiti
Watu washachoka kuuzima maji ya upako na kuibiwa pesa zao
Ukristo ni janga jipya la Dunia ukibisha REJEA SHAKAHOLA
Inatumika nguvu kulifanya nchi ya kiislamuNdio itumike nguvu hivi?
Hii nchi tusipokuwa na umoja bila kubaguana kwa dini, rangi wala kabila tutaipasua.
Waislamu wasiwekwe km special group hili litaleta tatizo mbeleni
HongeraMimi nitaslim siku ya kuoa tu ili nipate ndoa ya Kiislam kwa mtoto alielelewa katika maadili ya kiislam na nikifa nizikwe kiislam.
Huwa kama wamekatwa vichwaHivi umo mwenye dini huwa mnaf..ana au mnalogwa kwanza, mbona mnaandika pumba sana kila mtu akivutia kwake.
Divinity haina uhusiani na ukristoHebu achaneni na hayo mambo ya kipuuzi, mnashinda kutupigia kelele kila siku tahasusi, kwani wamekulazimisha usome hayo masomo ya waisilamu si usome tu dinivity yako?
Acheni ujinga.
Kabisa wajukuu wa mudi wanajiona kama special group wanastahili upendeleo maalumHii dunia inawahitaji watu wenye mabega mapana wala sio wanaobebeshwa mizigo myepesi, muda utafika watapwaya tu Dunia sio ya Muhamad wala Pop.
Kwa kuwa wanazamia kwa kasi huko ulaya kukimbia libya na nchi za kiislamu zinazoongoza kwa kuwa na machafuko anadhani wazungu wanaslimUnaota wewe 🤣🤣
Kabisa mkuu hawa wanaamini lugha pekee anayo jua Allah ni kiarabu wameamua waweke packageHakuna lolote la kuogopesha. Mtoto wako usipompa elimu sahihi, hatoboi. Dunia tunayozidi kuijongea haina longolongo. Kujua kichina au kiarabu inaweza kuwa added advantage..ila haina maana ndio last resolution
Wewe ni nani hadi unyamazishe watu hapa jukwaani?Hebu achaneni na hayo mambo ya kipuuzi, mnashinda kutupigia kelele kila siku tahasusi, kwani wamekulazimisha usome hayo masomo ya waisilamu si usome tu dinivity yako?
Acheni ujinga.