Maoni: Tuwape Wachambuzi wa soka wafundishe timu ya taifa

Maoni: Tuwape Wachambuzi wa soka wafundishe timu ya taifa

SubTopic

Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
95
Reaction score
175
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha alikosea wapi na kama angetumia mbinu Fulani angepata matokeo chanya. Naamini kwa pamoja wakiunganisha mawazo yao kuifundisha timu ya taifa tutapata timu ya taifa nzuri sana na yenye ushindani mkubwa na hatimaye tutafikia mafanikio tuliyoyangoja kwa muda mrefu.

Nawasilisha.
 
Mchambuzi anakwambia kama mi ndo ningekuwa kocha ningemtoa Ronaldo,hakuwa katika kiwango chake!
 
unaambiwa pale yule straika alitakiwa apige square pass ili afunge!
 
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha alikosea wapi na kama angetumia mbinu Fulani angepata matokeo chanya. Naamini kwa pamoja wakiunganisha mawazo yao kuifundisha timu ya taifa tutapata timu ya taifa nzuri sana na yenye ushindani mkubwa na hatimaye tutafikia mafanikio tuliyoyangoja kwa muda mrefu.

Nawasilisha.
watatufungisha, wanajua tu kukosoa pale kwenye screen.
 
Uchambuzi wa mpira umebase kwenye matokeo (Analysis after the event) na ukocha ni tactics before the event. Kocha hajui mbinu za adui ila anaamini akitumia mbinu flani kutokana na nguvu na umakini wa kikosi chake kitaleta matokeo mazuri.
Mchambuzi hakosolewi wala kutupiwa makopo ya maji na juice uwanjani bali kocha hukutana na hizo changamoto team inapofanya vibaya. Now you can be able to differentiate the two.
 
Wale jamaa wale,wana kigenge chao cha sijui station gani ile utasikia yani pale timu ilielemewa,ilitakiwa kocha atumie mfumo wa 5-0-12-93 nukta nne jamani jamani
 
Blh blh tu wale

Wanaishi kwa maneno

Ujuaji mwingi

Ova
 
Wachambuzi ni kama wapiga chabo tu.Hawawezi kusaidia chochote.Wao sawa na wapenzi wa mpira wataalamu baada ya mpira kwisha na misamiati yao. Sijui mchongo. Mpira ni sayansi inahitaji kusomea ili uweze kufundisha.
 
Uchambuzi wa mpira umebase kwenye matokeo (Analysis after the event) na ukocha ni tactics before the event. Kocha hajui mbinu za adui ila anaamini akitumia mbinu flani kutokana na nguvu na umakini wa kikosi chake kitaleta matokeo mazuri.
Mchambuzi hakosolewi wala kutupiwa makopo ya maji na juice uwanjani bali kocha hukutana na hizo changamoto team inapofanya vibaya. Now you can be able to differentiate the two.
Thanks,nakuelewa kaka lakini wapo wachambuzi wengine wanajiita waalimu au makocha kabisa
 
watatufungisha, wanajua tu kukosoa pale kwenye screen.
Ali Mayai mchambuzi maarufu amewahi kucheza soka klabu kubwa nchini. Hebu tupate track records zake versus uchambuzi wake nowdays.
 
Wachambuzi ni kama wapiga chabo tu.Hawawezi kusaidia chochote.Wao sawa na wapenzi wa mpira wataalamu baada ya mpira kwisha na misamiati yao. Sijui mchongo. Mpira ni sayansi inahitaji kusomea ili uweze kufundisha.
... Eti wapiga chabo! Means hawana effect yoyote kwenye mechi au sio?
 
ila huwa wananiboa siku ikicheza simba au yanga,kipindi kizima itaongelewa mechi hiyo mechi zingine yatatajwa matokeo tu dakika zote wanazimalizia kuelezea mechi ya simba/yanga. timu nyingine ni kama hazina nafasi
 
Hao tunawaita Radio Gaga,redio Gugu,redio blaaah!blaa!🎶
Kelele za mbwa Koko,wachambusi uchwara,🎶
Blaa! blaa!blaa!
Wanabwabwaja 🎵
Bwaa!bwaaa!bwaaaa!🎶
 
Back
Top Bottom