Maoni: Tuwape Wachambuzi wa soka wafundishe timu ya taifa

Maoni: Tuwape Wachambuzi wa soka wafundishe timu ya taifa

Utasikia amepiga p pasi afu beki laini imeshindwa kumaki akaruka frii heda.
 
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha alikosea wapi na kama angetumia mbinu Fulani angepata matokeo chanya. Naamini kwa pamoja wakiunganisha mawazo yao kuifundisha timu ya taifa tutapata timu ya taifa nzuri sana na yenye ushindani mkubwa na hatimaye tutafikia mafanikio tuliyoyangoja kwa muda mrefu.

Nawasilisha.
Hawajui mpira wale wanachezea mdomoni

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha alikosea wapi na kama angetumia mbinu Fulani angepata matokeo chanya. Naamini kwa pamoja wakiunganisha mawazo yao kuifundisha timu ya taifa tutapata timu ya taifa nzuri sana na yenye ushindani mkubwa na hatimaye tutafikia mafanikio tuliyoyangoja kwa muda mrefu.

Nawasilisha.
Nawanajua kuchambua baada ya mpira na sio kabla

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ali Mayai mchambuzi maarufu amewahi kucheza soka klabu kubwa nchini. Hebu tupate track records zake versus uchambuzi wake nowdays.
ally mayai walau kidogo kwasababu alishawahi kucheza, sio mbaya tukimwamini walau kidogo.
 
Kuhusu kutoka uchambuzi hadi ukocha uGarry Neville anajua zaidi ndio maana hautaki kurudia tena kudandia ukocha
 
Mchanbuzi ni Kama shabiki tu aliyepewa nafasi ya kuuza sura katika tv au redio hakuna mausiano yoyote na ukocha. Ukocha ni kitu kingine kabisa, ukocha ni kazi ngumu kuliko uhandisi au udaktari maana uhandisi na udaktari una uhakika kwamba A+B =C tofauti na ukocha.
 
Kila mkulima anaweza mpishi lakini sio kila mpishi anaweza mkulima
 
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha alikosea wapi na kama angetumia mbinu Fulani angepata matokeo chanya. Naamini kwa pamoja wakiunganisha mawazo yao kuifundisha timu ya taifa tutapata timu ya taifa nzuri sana na yenye ushindani mkubwa na hatimaye tutafikia mafanikio tuliyoyangoja kwa muda mrefu.

Nawasilisha.
Yaani timu tumpe Privadinho..
Mkuu upo serious na haya Maisha?[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom