Duh hao mnawaonea, ningetamani kuona Bashiru anakua VP, na Mwigulu akibaki kumsaidia mama wizara ya Fedha,Pole pole huku mitaani amekua Shujaa wa kusaidia wanyonge wamuacheWakuacha kabisa ni
Polepole
Mwigulu
Kabudi
Kalemani
Bashiru
Ndalichako
List goes on
Anatembea kwenye ilani ya CCM.Kama alikuwa na uoga kipindi hicho ni kwa sababu alikuwa anafanya kazi chini ya mtu...
Mimi pia nimeshangaa eti TISS huru? Huenda haijui.tiss huru unaijua mzee?
MATAGA kwisha habari zenuAnatembea kwenye ilani ya CCM.
Tukutane kesho nikupe kadi ya CCM hutojuta.MATAGA kwisha habari zenu
Ushauri wangu kwa MH. Rais ni kuanzisha mchakato wa Kariba mpya. Utakumbukwa hadi ukamilifu wa dahariEnyi TISS, sisi raia wema huku mitaani tuna imani Sana na nyinyi,kusema kweli tunawapenda Sana,Sasa Mimi Lee kwa niaba ya Watanzania wema,tunawaomba mumshauri na mhakikishe amepokea ushauri huu mheshimiwa Samiha.
Nawe mama Samiha Rais wetu nakuomba upokee ushauri huu Ili kufanya Tanzania iwe na amani upendo raha furaha na haki,kwani haki huinua Taifa.
Ushauri wangu
Naomba TISS chombo chetu Watanzania,mshaurini Rais Samiha atengeneze taasisi imara ili zilete haki.
Baadhi ya taasisi imara Ni
Mahakama huru,
Bunge huru,
Polisi huru,
TISS huru,
Takukuru huru,
NEC huru,
N.k
Faida ya taassisi huru itamfanya atawale kwa haki,kwa urahisi,kwa raha na bila lawama.
Taasisi huru itawafanya TISS wawe na kazi nyepesi bila lawama kutoka upande wowote.
Polisi hawata onea raia,
Mahakama itaamua kwa Haki,
Bunge litafanya kazi kwa weledi,
Takukuru hawata mwonea mtu,
NEC haitalaumiwa,
TISS haita laumiwa,
Hivyo Mama ataongoza kwa raha bila lawama,yeye atasimamia kuleta maendeleo tu.
Mbali na hayo yote tunaomba Rais Samiha uruhusu katiba pendekezwa ya Jaji Warioba, ambayo wewe Rais ulikua Spika wa Bunge la katiba,tunaomba haya kwa Mustakabali wa Taifa.
Ukiruhusu hayo utatawala ka amani Sana.
Tunaomba Taasisi Imara.
KivipiTunajivunia nidhamu serikali na ongezeko la ubora wa utendaji serikalini na mashirika yake mambo makubwa aliyoleta magufuli. Hata wapinzani wa ovyo kama lissu hawawezi kupinga hilo...
Hizi habari za umungu mtu zinaishia tarehe 25/3!! Baada ya hapo tutarejea kwenye mfumo wetu tulio uzoea wa utawala bora! Udikteta uchwara utabakia tu kuwa historia.Tunajivunia nidhamu serikali na ongezeko la ubora wa utendaji serikalini na mashirika yake mambo makubwa aliyoleta magufuli. Hata wapinzani wa ovyo kama lissu hawawezi kupinga hilo...
Itakuwa hujui maana ya haki mleta mada.Kwa upande mwingine wapinzani wanalaumu usimamizi imara wa serikali wa magufuli kusimamia haki na sheria eti wanaita udikteta
Hujui maana ya dola. Unaweza kutafsiri vyovyote ila lolote kwa kulinda maslahi ya umma linafanyika kwa mujibu wa sheria. Unaweza kuita utekeja uuaji etc hiyo ni juu yako.Itakuwa hujui maana ya haki mleta mada.
Hebu mgeukie mamako mzazi hapo ulipo halafu muulize:
Kuteka, kuuwa na kufilisi watu ni haki?
Kuonea watu na kuwabambika makosa ya uhujumu uchumi ni haki?
Akikupa majibu rudi hapa.
Dah yani hapa tulipo ni ngumu kushauri chochote kwakweli . Marehemu alifanya kila kitu kiwe kinamsujudia yeye/kampuni binafsiEnyi TISS, sisi raia wema huku mitaani tuna imani Sana na nyinyi,kusema kweli tunawapenda Sana,Sasa Mimi Lee kwa niaba ya Watanzania wema,tunawaomba mumshauri na mhakikishe amepokea ushauri huu mheshimiwa Samiha.
Nawe mama Samiha Rais wetu nakuomba upokee ushauri huu Ili kufanya Tanzania iwe na amani upendo raha furaha na haki,kwani haki huinua Taifa.
Ushauri wangu
Naomba TISS chombo chetu Watanzania,mshaurini Rais Samiha atengeneze taasisi imara ili zilete haki.
Baadhi ya taasisi imara Ni
Mahakama huru,
Bunge huru,
Polisi huru,
TISS huru,
Takukuru huru,
NEC huru,
N.k
Faida ya taassisi huru itamfanya atawale kwa haki,kwa urahisi,kwa raha na bila lawama.
Taasisi huru itawafanya TISS wawe na kazi nyepesi bila lawama kutoka upande wowote.
Polisi hawata onea raia,
Mahakama itaamua kwa Haki,
Bunge litafanya kazi kwa weledi,
Takukuru hawata mwonea mtu,
NEC haitalaumiwa,
TISS haita laumiwa,
Hivyo Mama ataongoza kwa raha bila lawama,yeye atasimamia kuleta maendeleo tu.
Mbali na hayo yote tunaomba Rais Samiha uruhusu katiba pendekezwa ya Jaji Warioba, ambayo wewe Rais ulikua Spika wa Bunge la katiba,tunaomba haya kwa Mustakabali wa Taifa.
Ukiruhusu hayo utatawala ka amani Sana.
Tunaomba Taasisi Imara.