Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Sawa Bashite tumekuelewa hata sabaya nae alikua mthubutu vilevile na akaenda kwenye media kujinadi

Ila kaa ukijua kwa namna yeyote ile kunasiku utalipia dhuluma uliyowafanyia watanzania, mauaji na uhalifu ulioutekeleza

Nabii G.Lema alishakutabiria tunasubiri wakati tu ila hukumu yako ipo njiani. Itakuwaje sijui lakini inakuja
 
Makonda ni gaidi, muhuni na tapeli kama Sabaya tu, siku yake inakuja! Atahukumiwa bila huruma![emoji1787]
 
Akumbuke kulipa madani ya ndani ndiyo yanainua uchumi sababu za awamu ya 5 eti wanahakiki madeni nizakipuuzi
 
Hivi kweli kama mtu ana uwezo wa kusoma elimu ya juu kwa kujilipia ada hii si ingekuwepo toka alipoanza kindagate.

watu mnakurupuka na mawazo ya kuwabana watanzania hata sehemu zisizostahiki, leo hii unampatia mkopo mtoto wa kitanzania kwa ajili ya malazi na mlo tu na hali ya watanzania walio wengi hali mnazitambua.

Haituingii akilini kama alishindwa kusoma shule zenye mazingira na elimu bora kwenye walimu bora kama inavyofikirika (private schools) itawezekanaje kulipa ada ya mamilioni kwa elimu ya juu ukizingatia mama na baba kipato ni duni.

Kwa mwaka huu 2021elimu ya juu nadhani imelengwa kwa washua tuu mimi gharama ya mamilioni sidhani ka nitaimudu labda system ibadilike kwa mwendo huu hali ni mbaya.

Mama aliangalie hili na kubadili hii system ya utoaji mkopo wa elimu ya juu.mimi binafsi sijui nianzie wapi kwa hili.
 
Rais mkweli asiyeyumhishwa,mifano ni mingi moja ni hili la machinga, Rais alisema Machinga ni mradi kamili
 
Waswahili Wana kamsemo: mnyonge mnyongeni, HAKI yake mpeni. Mama Samia Suluhu apongezwe kwa Miradi inavyoendelea kama ilivyoachwa na mtangulizi wake.

Nafurahia kuona barabara za Mwendokasi zinavyoendelea kujengwa kwa kasi nzuri, flyovers n. k.

NAWAS
 
Fly over ya wapi mkuu?
 
1. Miamala je
2. Machinga je
 
Haya usijeyaongea baadhi ya sehemu, unaweza shushiwa kichapo kitakatifu. Kuna watu hawamwelewi na hawajawahi kumwelewa
 
Mara ya mwisho kurudi kijijini kwenu lini, je Kuna mradi gani unaendelea,je ina dhamani kiasi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…