Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hivi wee fala unalipwa sh ngapi kumpigia mapambio huyu bi mkubwa kila kukicha ama kweli nyie UVCCM mna uchawa wa kipumbavu sana

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
awamu zote kuhamishia ikulu dodoma walikuwa wanasubiri nini

kwani jiwe angeamua iende chato ingeshindikana unahisi
 
Acha upumbavu mpaka kijukuu na kitukuu chako kitalipi hii mikopo usiwaze kutumia makalio na kushindwa kuangalia watoto wetu na wajukuu zetu mbeleni watakuwa na maisha gani...!?
Kwa hiyo ulitaka wasilipe,unafikiri Kuna nchi isiyo kopa,kwani huoni miradi inavyojengwa na kumgusa mtanzani. Kinachoangaliwa Ni aina ya mkopo,kazi unayokwenda kufanywa au kuwekewa mkopo huo,riba au masharti ya mkopo,muda wa kulipa mkopo na mengine machache Kama hayo, Serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia inazingatia hayo yote na ndio maana hatupo katika nchi zilizoelemewa na Deni la Taifa,

Siyo unaandika tu hapa Kama mlevi kwa kutumia lugha ya kitoto iliyokosa adabu na heshima utafikiri umekosa malezi ya wazazi wako
 
Sawa,. Hajaanzisha mradi wowote Kama ulivyosema. Je hiyo miradi inayoendelea wewe ndio unatoa hela, au ulitaka hela zitoke wapi. Acha unafiki
Kwa taarifa yako mwisho wa siku pesa hutolewa na mlipa kodi! !Hata kama ni mkopo, mlipa kodi ndiye atakayelipa mkopo huo. Kwa bahati mbaya nafasi kubwa za kisiasa walizoshika hawakatwi kodi kwenye mishahara yao, hiyo ni mbaya sana!
 
awamu zote kuhamishia ikulu dodoma walikuwa wanasubiri nini

kwani jiwe angeamua iende chato ingeshindikana unahisi
Si angepeleka nini kilimzuia? Angejua kuwa wapo wenye nchi na siyo yeye!! Yeye alichongwa tu!!
 
Si angepeleka nini kilimzuia? Angejua kuwa wapo wenye nchi na siyo yeye!! Yeye alichongwa tu!!
aliwahi sema anataka kupeleka.

uwanja umepelekwa wenye nchi walizuia nini

mbuga imepelekwa walizuia nini

mkoa umepelekwa walifanya nini

u
 
Nchi hii imefika pa baya sana, huyu mama hivi anakifua kweli cha kuhimili mikiki mikiki na matusi ya kwenye kampeni, ngoja chawa wamdanganyr
 

Sukuma gang sajilini kile chama chenye muanze kuhoji maana mkiwa ndani ya CCM hamuwezi.
 

Paskali Mayalla ni muandika magazeti kama ww, lakini hata yeye anaona uvivu kusoma haya magazeti yako.
 
aliwahi sema anataka kupeleka.

uwanja umepelekwa wenye nchi walizuia nini

mbuga imepelekwa walizuia nini

mkoa umepelekwa walifanya nini

u

Wewe mwenyewe unajua walichofanya!! Ndo maana mmebakia lialia hapa! Na hamna cha kuwafanya!!

Mchonga kinyago akiogope mwenyewe, labda awe chizi!!
 
Coment ndefu kama hii si bora ungeutengenezea tu uzi mwingine we chawa.
 
Huu ni ukweli hasaa..
Ni kwa vile tu chawa wamekuwa wengi. Na chawa ni dalili ya uchafu wa mavazi au nywele.
Huwezi kuwa na chawa ikiwa uko safi.
Sasa akiendelea kuwafuga, ipo siku watamnyonya/watamkausha damu
 
Chawaaaaaaaaaaaa[emoji23][emoji23]
 
Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unaingiza uzuzu wako eti Sukuma gang.watanzania bhana sijui Nani katuroga.kama wewe ni chawa wa mtu ukiona umeguswa bora Tu ujinyamazie maisha yaende.nchi ni yetu site lazima watu wajue kinachoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…