Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Wewe ni malaya wa kisiasa!
Huna utaikoni wowote wa kifasihi bali unaendeshwa na tamaa za kibinadamu tu.

Sasa tunaona rasmi ukianza kujiunga na team ya
"Saka Teuzi Gang"!
 
magu
 
Wewe ni malaya wa kisiasa!
Huna utaikoni wowote wa kifasihi bali unaendeshwa na tamaa za kibinadamu tu.

Sasa tunaona rasmi ukianza kujiunga na team ya
"Saka Teuzi Gang"!
Povu kama lote [emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji2957]

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Robert Heriel umebima? Nakushauri ubadili kichwa cha uzi wako kwakuwa kinaleta ladha isiyopendeza. Ungesema tu : 'Kuongozwa na mshamba' badala ya 'Nchi kuongozwa na mshamba'. Mengine yako vyema na yanatafakarisha.
Akili zake ni nyingi mno kichwani na anadhani watu ni wapumbavu kama alivyo yeye. Taikoni wa fasihi!!!???
 
Wewe ni malaya wa kisiasa!
Huna utaikoni wowote wa kifasihi bali unaendeshwa na tamaa za kibinadamu tu.

Sasa tunaona rasmi ukianza kujiunga na team ya
"Saka Teuzi Gang"!

Mkuu kwani ni kosa kusema ubaya wa kuongozwa na MTU limbukeni na mshamba?
Kwani nimemtaja kiongozi yeyote humu Kwa jina? Mbona kama unahisi nimekusema weww?

Au ndio ushamba na ulimbukeni wenyewe huo?
 
Acha kumsema Mwendazake 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…