Jiwe limerushwa gizani, ukiskia kelele tu ujue kuna lililomhusu hukoKwani kuna kiongozi katajwa? Au unahisi kiongozi fulani anaendana na hizo sifa?
Ndo ulimbukeni wenyewe, inabidi mpaka achorewe picha (labelled diagram) ndo ataelewa. Maelezo ya kinywa hayamtoshiKwa nini unatukana mkuu? Mbona mada ina mafunzo mazuri tu na hajamtukana mtu
InexperienceNAOMBA KUJUZWA KINGEREZA CHA NENO LIMBUKENI.
Duh unatafuta uchokozini sukuma gang in english
Nyani haoni kunduleUna ujinga mwingi.
Natamani kusema lakini.. Acha ninyamaze tu time muda utasemaNianze moja kwa moja kwa pongezi kwa kazi ngumu na kubwa kwaajili ya Taifa letu la Tanzania hususani katika harakati za Kukuza na kuinua Uchumi wa Nchi yetu .
Kwa kipindi cha siku kadhaa zilizopita tumeona kikao na barozi Wa Marekani ambacho kilikua na faida kubwa sana kwa nchi yetu Kwa nchi ya Marekani kuendelea kushirikiana na nchi yetu katika mambo mbali mbali
Lakini pia Ujio wa Wafanya tathmini ya uwezo wa nchi yetu kama tunaweza kukopesheka au laa ! Kwa picha hiyo tunaona kuna nafasi ama sifa Bado ya kukopesheka ina maana kwamba deni la Taifa ni la kawaida .Na mambo yote yamekua wazi
Makubwa zaidi ni Ziara yako nchini Uingereza ambapo umekutana na wadau mbalimbali wa Kuweza kufanya ushirikiano wa masuala ya kimaendeleo, ikiwemo uboreshaji wa Uwanja wa ndege Zanzibar na barabara
Zaidi ni kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Taifa la Uingereza ambapo kuanzia sasa tunaamini kupata wawekezaji wengi sana katika nchi yetu jambo litakalo pelekea ajira kwa Watanzania wengi .
Lakini hilo pia linaenda sambamba na ukamlishaji wa miradi ya maendeleo hapa nchini , uboreshaji wa Huduma za kiafya , elimu Pamoja na kilimo ambacho ndio ajenda moto kwa sasa hapa nchini .
Hukosei unajua kucheza na fursa Kwa UZITO WA KIPEKEE NI MPONGEZE MH RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN OUR PRESIDENT KWA MAONO YAKE JUU YA TEUZI ZAKE NA USIMAMIZI WAKE WA NCHI YETU KWA MIAKA HII MIWILI HAKIKA ANA TIMU MAKINI SANA KAMA NI KOCHA SIJAJUA NI WA TIMU GANI . MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI RAIS WETU , MUNGU MBARIKI MWIGULU NCHEMBA .
Huu ndio ule ujinga tulikua tunajadili Jana naye huyu kaja kuufanya hapa JFNianze moja kwa moja kwa pongezi kwa kazi ngumu na kubwa kwaajili ya Taifa letu la Tanzania hususani katika harakati za Kukuza na kuinua Uchumi wa Nchi yetu .
Kwa kipindi cha siku kadhaa zilizopita tumeona kikao na barozi Wa Marekani ambacho kilikua na faida kubwa sana kwa nchi yetu Kwa nchi ya Marekani kuendelea kushirikiana na nchi yetu katika mambo mbali mbali
Lakini pia Ujio wa Wafanya tathmini ya uwezo wa nchi yetu kama tunaweza kukopesheka au laa ! Kwa picha hiyo tunaona kuna nafasi ama sifa Bado ya kukopesheka ina maana kwamba deni la Taifa ni la kawaida .Na mambo yote yamekua wazi
Makubwa zaidi ni Ziara yako nchini Uingereza ambapo umekutana na wadau mbalimbali wa Kuweza kufanya ushirikiano wa masuala ya kimaendeleo, ikiwemo uboreshaji wa Uwanja wa ndege Zanzibar na barabara
Zaidi ni kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Taifa la Uingereza ambapo kuanzia sasa tunaamini kupata wawekezaji wengi sana katika nchi yetu jambo litakalo pelekea ajira kwa Watanzania wengi .
Lakini hilo pia linaenda sambamba na ukamlishaji wa miradi ya maendeleo hapa nchini , uboreshaji wa Huduma za kiafya , elimu Pamoja na kilimo ambacho ndio ajenda moto kwa sasa hapa nchini .
Hukosei unajua kucheza na fursa Kwa UZITO WA KIPEKEE NI MPONGEZE MH RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN OUR PRESIDENT KWA MAONO YAKE JUU YA TEUZI ZAKE NA USIMAMIZI WAKE WA NCHI YETU KWA MIAKA HII MIWILI HAKIKA ANA TIMU MAKINI SANA KAMA NI KOCHA SIJAJUA NI WA TIMU GANI . MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI RAIS WETU , MUNGU MBARIKI MWIGULU NCHEMBA .
Viongozi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ni members wa CCM. Itakuwa ni kosa kubwa sana la kisiasa kuwawajibisha.Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na