Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hii 5G internet ni tofauti na ile SupaKasi??

Yenyewe haihitaji kuwa na TIN number??
 
Habari mkuu, nawezaje tumia hiyo 5G km vifaa vyangu havisuport hiyo 5G au ndo itabidi ninunue vipya ili nimtumie hiyo huduma?
Kwa sasa ni mpaka utumie router za 5G router za kawaida hazina uwezo. Router ndogo 650,000 user 32 na kubwa 850,000 user 256 karibu tupigie 074501
Hii 5G internet ni tofauti na ile SupaKasi??

Yenyewe haihitaji kuwa na TIN number??
Vodacom kuna huduma mbili Moja ni Postpaid ambayo mteja anakuwa na biashara na hivyo anasaiin mkataba wa miaka miwili kutumia huduma. katika huduma hizo kuna kasi internet ambayo ni gbs za kupimiwa na 5g ambayo ni unlimited. lkn kwa sasa vodacom wamezindua pia Prepaid ambapo mteja ananunua kifaa na huduma na analipa kabla then anatumia. hakuna mkataba wala tin number unapokuwa na huduma ya pree paid. unalipia tu kifaa na huduma unaendelea kuenjoy.
 
Swali langu ni kwamba je, inawezekana kuunganisha simu yangu yenye uwezo wa 4G na router ya 5G?
Ndio unaweza,

Kutoka mnara hadi router ndio tech ya 5G inatumika.

Kutoka Router hadi vifaa vyako unatumia Wifi
 
Swali langu ni kwamba je, inawezekana kuunganisha simu yangu yenye uwezo wa 4G na router ya 5G?
Ndio unaweza. 5G Router ina band mbili 2.4 ambayo ni masafa ya 4G na 5.0 ambayo ni masafa ya 5G. Kwa simu ambazo ni 4G itapata WiFi 4 ambayo inatokana na 2.4band na ukiwa na simu ya 5G basi utaona WiFi 6 ambayo ni ya 5.0 na hapo ukipima speed basi utaona speed halisi kwa aina ya speed uliyonunua.
 
Ndio unaweza,

Kutoka mnara hadi router ndio tech ya 5G inatumika.

Kutoka Router hadi vifaa vyako unatumia Wifi
Yaani hili ndo lilikuwa linanitatiza sana mkuu, kwa hiyo kumbe nikishanunua hiyo router yao (voda) na kulipia internet naweza kutumia kwa vifaa vyovyote hata kama having uwezo wa 5G.
Hivi ni kweli ni unlimited au kuna kiasi ukifika internet inakata?
 
Yaani hili ndo lilikuwa linanitatiza sana mkuu, kwa hiyo kumbe nikishanunua hiyo router yao (voda) na kulipia internet naweza kutumia kwa vifaa vyovyote hata kama having uwezo wa 5G.
Hivi ni kweli ni unlimited au kuna kiasi ukifika internet inakata?
Ni unlimited ila unapimiwa kwa speed hio 120,000 hupati speed yote unapata tu 30mbps.

Ukitaka full speed unalipia laki 6 kwa 350mbps.
 
Yaani hili ndo lilikuwa linanitatiza sana mkuu, kwa hiyo kumbe nikishanunua hiyo router yao (voda) na kulipia internet naweza kutumia kwa vifaa vyovyote hata kama having uwezo wa 5G.
Hivi ni kweli ni unlimited au kuna kiasi ukifika internet inakata?
Ukinunua Kasi Internet sio unlimited ila ukinunua 5G plan zote ni unlimited yaani unlimited halisi. Kutest uhalisia tupigie 0745015421. Cha msingi hapo uwe tu jirani na mnara wa 5G ndani ya 1Km.
 
Ndio unaweza. 5G Router ina band mbili 2.4 ambayo ni masafa ya 4G na 5.0 ambayo ni masafa ya 5G. Kwa simu ambazo ni 4G itapata WiFi 4 ambayo inatokana na 2.4band na ukiwa na simu ya 5G basi utaona WiFi 6 ambayo ni ya 5.0 na hapo ukipima speed basi utaona speed halisi kwa aina ya speed uliyonunua.
Sio lazima simu iwe na wifi 6 kupata 5ghz band, simu mpaka za bei rahisi zina 5ghz na sio lazima pia simu yako iwe na 5G kuwa na 5ghz band. Mfano Redmi 10C ina 5ghz band na ni simu ya 4G.
 
Ni unlimited ila unapimiwa kwa speed hio 120,000 hupati speed yote unapata tu 30mbps.

Ukitaka full speed unalipia laki 6 kwa 350mbps.
Samahani mkuu kwa maswali mengi.. hizo router ni nzuri kwa mazingira gani yaani zinafanya kazi vizuri ukiwa ndani ya jengo au hata kwa mazingira ya nje. Na je, software gani nzuri kucontrol matumizi ya data na unauthorized access?
 
Samahani mkuu kwa maswali mengi.. hizo router ni nzuri kwa mazingira gani yaani zinafanya kazi vizuri ukiwa ndani ya jengo au hata kwa mazingira ya nje. Na je, software gani nzuri kucontrol matumizi ya data na unauthorized access?
Mkuu Hio Nokia Fastmile ipo highly rated, na sababu hii ni 5G choice ya Router itakua limited.

Kwa router za kawaida kama za fiber zipo nyingi nyengine zina hadi open source software ambazo unaweza weka program zozote unazotaka kuongeza uwezo wa Router.

Na kama una Jengo kubwa inabidi ufanye mesh, unaweka router kadhaa sehemu mbalimbali.
 
Mkuu Hio Nokia Fastmile ipo highly rated, na sababu hii ni 5G choice ya Router itakua limited.

Kwa router za kawaida kama za fiber zipo nyingi nyengine zina hadi open source software ambazo unaweza weka program zozote unazotaka kuongeza uwezo wa Router.

Na kama una Jengo kubwa inabidi ufanye mesh, unaweka router kadhaa sehemu mbalimbali.
Asante mkuu, wewe ni mtu wa msaada sana. Mungu akubariki.
 
Kwa sasa ni mpaka utumie router za 5G router za kawaida hazina uwezo. Router ndogo 650,000 user 32 na kubwa 850,000 user 256 karibu tupigie 074501

Vodacom kuna huduma mbili Moja ni Postpaid ambayo mteja anakuwa na biashara na hivyo anasaiin mkataba wa miaka miwili kutumia huduma. katika huduma hizo kuna kasi internet ambayo ni gbs za kupimiwa na 5g ambayo ni unlimited. lkn kwa sasa vodacom wamezindua pia Prepaid ambapo mteja ananunua kifaa na huduma na analipa kabla then anatumia. hakuna mkataba wala tin number unapokuwa na huduma ya pree paid. unalipia tu kifaa na huduma unaendelea kuenjoy.
Shukrani sana kwa maelezo mazuri

Na vipi zile habari za kusitishiwa huduma unapokaa miezi miwili bila kulipia internet??
 
Kwa niaba ya Walimu wote Tanzania,natoa shukrani za dhati kabisa kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu kwa kazi ngumu anazozifanya kuwatumikia watanzania..

Rais wetu anaongoza Serikali iliyo makini na yenye kusikiliza matatizo ya wanancgi wake..Hii ni nzuri sana kwa afya ya nchi yetu..Wananchi tusisite kumuombea na kumtia nguvu Rais wetu.

Nayasema haya yote kutokana na malalamiko yaliyokuwa yakitolewa humu Jamii Forum kufanyiwa kazi kwa uharaka sana na kuhakikisha walimu wanabaki wenye furaha..

Nitumie fursa hii kupongeza pia Jamii Forum kwa kazi nzuri ya kufichua maovu..kupitia jukwaa hili wengi wanapona na hata makosa kurekebishwa kwa uharaka.

Suala la Idara ya Elimu Moshi limekuwa likiwaumiza vichwa sana walimu lakini kwa umakini na ustadi mkubwa, Wizara ya Tamisemi ikishirikiana na vyombo vyake wameweza kutumbua jipu lililowakera walimu kwa muda mrefu ..bila kumuonea mtu haki imetendwa..

Napongeza pia wote waliotoa ushirikiano kuhakikisha ukweli unabainika.Naomba niwatie moyo walimu wote Tanzania,kufanya kazi kwa bidii ili kuiunga mkono Serikali yetu tukufu kwani ipo kwa ajili yetu na kwaajili ya maslahi ya watanzania wote..

Mungu Ibariki Tanzania,Mungu mbariki Rais wetu na Serikali yake ..

Ameen.
 
Back
Top Bottom