johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bwashee Sabaya mhalifu ila mtakuja kumpa cheo pale Lumumba. Halafu mtamshukuru.Shukuruni kwa kila jambo!
Kiongozi hutoka kwa Mungu!Bwashee Sabaya mhalifu ila mtakuja kumpa cheo pale Lumumba. Halafu mtamshukuru.
Hata mimi namshukuru jua limechomoza maana usiku ilikuwa mrefu sana na mbu wanapiga miruziHeshama kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Huyo Dr wako kafanya jitihada gani za wewe kuamka salama?Heshama kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
😂😂 Hata Hitler na PinochetKiongozi hutoka kwa Mungu!
Ukijaliwa mtoto usisahau kutoa shukran 🥰🥰🥰Heading imesababisha nikakusonya, content imesababisha nikakuomba radhi
Nami namshukuru Raisi samia kwa kuleta maporomoko katesh. Nampongeza sana ama kweliHeshama kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Kuna lijinga na lipumbavu limoja likimsifia mwishoni linachomeka namba ya simu linaitwa Mbwa wa Shambani sijuwi Mwasambwanda ...ila wengi JF wenye akili wameli ignore likileta mavi yake hapa jukwaani.Heshama kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Mtanikumbuka 😂🔥Muasisi wa haya mambo ni JPM, na wote tulishangiliq, acha tuendelee
Umekariri vibaya.Kiongozi hutoka kwa Mungu!